TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
1. Haki ya nani
Watu wamekuwa wakiapiza Sana kutumia haya maneno. Nimezoea sana kusikia watu wakiapiza kwa maneno ya yanayohusisha Mungu mfano " haki ya Mungu naapa, Maasafu ya Mtume, Yesu Kristu naapa, nk". Sasa hii kuapa kwa maneno "haki ya nani/nane" source yake ni Nini?
2. Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni
Kikubwa Musa alichofanya ni Nini na kikubwa alichofanya firauni ni Nini? Angalizo: Watu wengi hapa wanahusisha jina firauni na vitendo vya ufiraji, si kweli, firauni ni cheo Cha pharaoh ambacho kwa kiswahili kisicho rasmi NI firauni na walikuwa wengi tu kwa nyakati tofauti. Niambieni Sasa kikubwa walichofanya mafarao Hawa ni Nini mpaka tuyastaajabie.
3. Utakiona cha mtema kuni
Hapa napo pananipa shida. Huyo mtema kuni ni Nani na kutema kuni ni kufanyaje. Na kipi kikubwa kilichompata mpaka mtu akitaka kukupiga mikwara akutishie masaibu yaliyomkuta huyo bwana aliyetemeshwa kuni.
Tafadhali waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamekuwa wakiapiza Sana kutumia haya maneno. Nimezoea sana kusikia watu wakiapiza kwa maneno ya yanayohusisha Mungu mfano " haki ya Mungu naapa, Maasafu ya Mtume, Yesu Kristu naapa, nk". Sasa hii kuapa kwa maneno "haki ya nani/nane" source yake ni Nini?
2. Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni
Kikubwa Musa alichofanya ni Nini na kikubwa alichofanya firauni ni Nini? Angalizo: Watu wengi hapa wanahusisha jina firauni na vitendo vya ufiraji, si kweli, firauni ni cheo Cha pharaoh ambacho kwa kiswahili kisicho rasmi NI firauni na walikuwa wengi tu kwa nyakati tofauti. Niambieni Sasa kikubwa walichofanya mafarao Hawa ni Nini mpaka tuyastaajabie.
3. Utakiona cha mtema kuni
Hapa napo pananipa shida. Huyo mtema kuni ni Nani na kutema kuni ni kufanyaje. Na kipi kikubwa kilichompata mpaka mtu akitaka kukupiga mikwara akutishie masaibu yaliyomkuta huyo bwana aliyetemeshwa kuni.
Tafadhali waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app