Naombeni makadirio ya gharama zifuatazo

Chief naona ahadi yako ya mwezi wa saba kutembelea mat.ako imetimia,safi sana achana na wanaokubeza kwani gar ni gar tu wote mnapanga folen kweny mataa
 
Jamaa post za kibabe sana huwa nakuchukulia don flan hivi, kufungua nakuta oppa[emoji1]
Haha kwani Don hawezi kuendesha gari ya kawaida mkuu au umesahau life is all about ChoicesπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†, kumbuka awamu ya 5 haihitaji mbwembwe arif!
 
Eeh mkuu tunatekeleza moja baada ya moja, awamu ya 5 hii πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Chief naona ahadi yako ya mwezi wa saba kutembelea mat.ako imetimia,safi sana achana na wanaokubeza kwani gar ni gar tu wote mnapanga folen kweny mataa
 
Kushika bomba sio poa

Hongera kwa kutembelea huku umekaa...
 
KAKA MCHEKI HUYU JAMAA YUPO SINZA MORI YUKO POA SANA ANAWEZA KUPA MCHANGANUO WOTE NA NI FUNDI PIA 0718750390
 
PONGEZI AFISA KWA KUMILIKI CHUMA.. KUJIPANGA MPAKA KUKIMBIA NA MAKALIO BARABARANI SIO MCHEZO MCHEZO.
Asante boss kazi, ni kukaza tu kibishi bishi life lisonge.
 
Opa ukiipiga mguu wa hatari inatoka kinoma Yani!


Ila hongera kwa kuasi kambi ya TZ11 mkuu.....wacha wengine tuendeleze uzalendo wetu maana hakuna namna
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Eeh mkuu, inakaa mkao sana yani...Aisee nikweli nimeasi kupiga ng'oko ila tukaze tu kila kitu inawezekana wazee.
 
Hahaha mzee wa kazi itakua kuna kitu tunafanana huwezi amini tangu juzi nimeanza kuangalia Toyota Opa na nimeshaanza kuimagine kuichukua hio ingawa spidi yake ipo katikati hii ni baada ya mikiki mimiki ya Crown kunishinda kuwavua wabongo wanakomaa 12m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…