Naombeni Mkopo plizzz

Naombeni Mkopo plizzz

Katika kila wanawake 10 niliowahi kuwakopesha, deni linarudishwa kwa wakati na 90% yao.

Katika kila wanaume 10 niliowahi kuwakopesha, deni linarudishwa kwa wakati na 10% yao.

Hiyo ndio tofauti, na wala si ubaguzi, ni takwimu zangu zinaonesha hivyo. Jee, kwa takwimu hizo wewe utamuani nani hapo?

ok kwa hizo takwimu inawezekana una experience zaidi.
 
Tangu lini Tv na Fridge vikawa "assets"? Asset is anything that puts money into your pocket, Liability is anything that takes money from your pocket.

Wewe umepata wapi hii definition, kwa mazingira haya, its not the principle one!
 
Maisha magumu sana...mkuu usichoke tafuta mkopo utapata tuu naamini unashida na naamini pia ni mtu muaminufu kwa jamii ukikosa kabisa ni PM na uwe na maelezo upo sehemu gani ya tanzania na unataka mkopo kwa ajili ya nini.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nina Tv inch 24 Sony na Fridge ndogo
Naombeni mkopo wa tshs 250,000\=
Mpaka tarehe 15/12\2012
Alie tayari tuwasiliane plizzzz...[/QUOTEN

Ni pm namba yako ingawaje inaweza isfike 2500,000 lkn nitakuwa nimekusumkuma safari yako
 
Ya kwanza kabisa ambayo ni 250,000\=

Mimi natafuta million mbili na nusu nataka nianze biashara,maana nimefanya kazi serikalini bila kupata mafanikio. Nimefundisha mwaka wa tatu sasa na nimefanikiwa kusomesha mdogo wangu pamoja na mtoto wa kakangu ambaye babake mzazi ni marehemu na wote wamemaliza fomu 4. Kwa kifupi mimi ni mtoto pekee niliyesoma katka familia na nina wategemezi akiwemo mama mzazi. Niko tayari kuelekezwa ni biashara gani nifanye tofauti na niliyopanga. Mk
 
Mimi natafuta million mbili na nusu nataka nianze biashara,maana nimefanya kazi serikalini bila kupata mafanikio. Nimefundisha mwaka wa tatu sasa na nimefanikiwa kusomesha mdogo wangu pamoja na mtoto wa kakangu ambaye babake mzazi ni marehemu na wote wamemaliza fomu 4. Kwa kifupi mimi ni mtoto pekee niliyesoma katka familia na nina wategemezi akiwemo mama mzazi. Niko tayari kuelekezwa ni biashara gani nifanye tofauti na niliyopanga. Mk

Unasema hujafanikiwa, halafu ktk maelezo unasema umefanikiwa kusomesha !!!!!!!!! Niambie una umri gani ili tuone kama unastahili kukataa tamaa. Pili unafundisha shule ya level gani na unaishi wapi kwa sasa.
 
Nina Tv inch 24 Sony na Fridge ndogo
Naombeni mkopo wa tshs 250,000\=
Mpaka tarehe 15/12\2012
Alie tayari tuwasiliane plizzzz...

Unaishi wapi hapa Tanzania na shughuli zako ni zipi?
 
alafu inabidi atoe maelezo kwanini amedandia uzi ambao si wake kwanini asingeanzisha wa kwake!
 
Back
Top Bottom