DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Doh! this world has never been fair at all! Mkuu is this what you can advice this little gal?Fursa namba moja kwa mabinti kama umejaaliwa mwonekano mzuri wa umbo au sura au vyote kwa pamoja ni fursa tosha kutoboa kwa kuolewa! Sisi wanaume mbele ya "ke" mrembo tunaoa! Huo ndo mlango mkubwa namba moja wa kutoboa! Njooo pm nipe picha yako then you will never be the same!
Ahsante sanaKesho nakupa home work amka tembea tafuta location kwanza, usilale ndani tembea nje saka location ya biashara
Zungumza na wanaofanya biashara unayoipenda washirikishe chukua mawazo yao chuja unayoona ni Mazuri yafanyie kazi,
Mda wa kukaa ndani umekwisha unaosema wamekuzidi hakuna wakichokuzidi zaidi ya kutokukaa ndani hicho ndicho walichokuzidi toka nje tembea zunguka ongea na watu washirikishe wasikilize jishushe jifanye mjinga kwa siku 1 utakua mjanja kwa siku zaidi ya 1000
Usikae ndani usikae ndani usikae ndani wanaokuzidi hawalali ndani wanaenda kujichanganya nje huko
Doooh....Kwan ndoa ni Ajira ?Fursa namba moja kwa mabinti kama umejaaliwa mwonekano mzuri wa umbo au sura au vyote kwa pamoja ni fursa tosha kutoboa kwa kuolewa! Sisi wanaume mbele ya "ke" mrembo tunaoa! Huo ndo mlango mkubwa namba moja wa kutoboa! Njooo pm nipe picha yako then you will never be the same!
Shukran sanaShika hii mdogo wangu, kamwe usijidharau wala kujiona upo nyuma ya wakati kwa kuangalia mazingira ya wanaokuzunguka na mitandao itakupa stress na depression na kutaka mkato.
Anza na hiyohiyo uliyonayo kama ni online shop fanya ila jitahid usponsor ili uweze kureach watu wengi,kama ni wakala anza usikae kwenye maswali na kujidharau.
Badili mindset yako jiamini na jikubali, maana usipofanya ivyo hata biashara ukianza itayumba kutokana na hiyo mindset.
Maana kile unachokiamini (kibaya au kizuri) ndio haki yako ila kile unachokiri kwa kinywa chako kinatokea.
Inaingiaje hapa kamanda?Kumbe na wewe ni Binti!
OLEWA.Wanasema uwoga wako ndiyo umaskini wako....... Najiona mjinga,mpumbavu na nisiyekua na akili..... Mimi ni binti, wa 20+. Nimehangaika mnoo hapa nilipo Nina 2.5 MIL. Ambayo nimeipata ndani ya mwaka 1.5 kwa taabu mnooo. Kwakudunduliza kidogo kidogo. Huku na huko.......
Mimi natamani kuwa Yule ninayetaka kuwa, Nawaona wasichana WENYE umri wangu wakiwa na mafanikio makubwa,,,,,Wana biashara zao, office zao nk. Mimi Sina chochote,hata nilipotafuta Sana kazi sikuwahi kuipata ,na Sasa nimeachana na habar za kutafuta kazi....
Natamani kuwa mfanyabiashara,natamani nikijiona nainuka kiuchumi,,,,natamani kujiona nipo kule juu. Nachanganyikiwa hata sielewi nifanye nini?? Mabinti wenzangu,mliwezaje kupiga hatua ???? Mliwezaje kufanikiwa ???
Natamani kufungua duka la vipodozi, naona pesa haitatosha .....naamua nitafute laini za uwakala nianze na uwakala nipate kuongezea mtaji. Mabinti wenzangu,nataman kuwa Kama nyie. Imagine kesho jumatatu naamka na Sina pakwenda 😢😢😭😭😭 Basi nalala ndani
KUMBUKA najitegemea kwakilakitu,bill,rent,chakula n.k. Naombeni MNIPE nguvu,UJASIRI niweze KUTHUBUTU
Sitaki kujiona nipo hapa nilipo.....
NAUMIA,
Mimi Muoga naogopa kupoteza,
Najiona mpumbavu 😭😭😢
Oya umerudi toka kwenye mbio?
Kiufupi, tumia akili nyingi sana kujua Cha kufanya na kiwe ni kitu Cha chini kabisa hata Cha mtaji wa laki 5 tu, na ukiwa kwenye mzunguko huko mjini utakutana na mambo mengi kiutafutaji, kidogo kidogo utajua Cha kufanya chenye faida na ndipo utakianzisha na kufungua hizo 2M baadaye, hao wadada unao waona Wana maduka yao, wengi wamepita njia mbovu hata kama si wote, lakini wengi wao ni wamehongwa na wanaendelea kuuza utu wao, baadhi ya maduka yao na biashara zao ni kama magoli ya kudakia wanaume, unaweza Dhani ni utani au ni dharau lakini huo ndiyo ukweli, usiwaige Wala usitazame maisha yao, fuata sauti yako ya ndani juu ya unacho kipenda kufanya kiutafutaji, na ukifuate hicho pole pole, utakifikia.Wanasema uwoga wako ndiyo umaskini wako....... Najiona mjinga,mpumbavu na nisiyekua na akili..... Mimi ni binti, wa 20+. Nimehangaika mnoo hapa nilipo Nina 2.5 MIL. Ambayo nimeipata ndani ya mwaka 1.5 kwa taabu mnooo. Kwakudunduliza kidogo kidogo. Huku na huko.......
Mimi natamani kuwa Yule ninayetaka kuwa, Nawaona wasichana WENYE umri wangu wakiwa na mafanikio makubwa,,,,,Wana biashara zao, office zao nk. Mimi Sina chochote,hata nilipotafuta Sana kazi sikuwahi kuipata ,na Sasa nimeachana na habar za kutafuta kazi....
Natamani kuwa mfanyabiashara,natamani nikijiona nainuka kiuchumi,,,,natamani kujiona nipo kule juu. Nachanganyikiwa hata sielewi nifanye nini?? Mabinti wenzangu,mliwezaje kupiga hatua ???? Mliwezaje kufanikiwa ???
Natamani kufungua duka la vipodozi, naona pesa haitatosha .....naamua nitafute laini za uwakala nianze na uwakala nipate kuongezea mtaji. Mabinti wenzangu,nataman kuwa Kama nyie. Imagine kesho jumatatu naamka na Sina pakwenda [emoji22][emoji22][emoji24][emoji24][emoji24] Basi nalala ndani
KUMBUKA najitegemea kwakilakitu,bill,rent,chakula n.k. Naombeni MNIPE nguvu,UJASIRI niweze KUTHUBUTU
Sitaki kujiona nipo hapa nilipo.....
NAUMIA,
Mimi Muoga naogopa kupoteza,
Najiona mpumbavu [emoji24][emoji24][emoji22]
Asipoelewa hili kazi anayo."Nawaona wasichana WENYE umri wangu wakiwa na mafanikio makubwa,,,,,Wana biashara zao, office zao nk"
Ukitembea na hiyo dhana utazidi kujipa stress,Badili kwanza mtazamo wako.
ungempa na soft copy kabisaFata huu ushauri
Kama unajua kiingereza soma kitabu cha "become better you " by Joel oesteen na the power of ur subconscious mind by Dr Joseph Murphy
Tatizo lako lipo katika AKILI kwa kuamini you have nothing to offer that's way unalalamika as well soma na Kitabu cha The magic ujifunze how gratitude is everything in success
😂😂 Haya mwana yanga. Nitakucheki nikija huko next month. Dar imebishinda Bora nirudi zangu huko nipunge upepo wa bahariSijaenda hata nilikua busy na mechi ya Yanga [emoji23][emoji23][emoji23]. Niko mjini naondoka baadae
Mwenye Uzi si kaomba ushauri Kwa mabinti wenzie. Kumradhi lakiniInaingiaje hapa kamanda?
Aaahh sasa sie wengine hatuna baya tunasaidia tuMwenye Uzi si kaomba ushauri Kwa mabinti wenzie. Kumradhi lakini