Naombeni Mnipokee Mgosi wa Lushoto

Naombeni Mnipokee Mgosi wa Lushoto

Tuseme ndio mmegoma au vipi? Kama hamtaki naondoka zangu mie kwani lazima bhana
Mosie zumbemkuu na Mani Hebu njooni huku fasta bhana mnipokee
 
Last edited by a moderator:
Mapeasi ndio yameishia hivyo ila kuna matunda damu tu na mafyoksi......
ila wewe na yeye si ni mwili mmoja bana...kwa nini tushirikiane na kichwa cha familia tuache moyo wa familia wakati nyie mwili mmoja???
 
Natokea hapa Kwemakame about 10Km toka Lushoto Mjini jirani na yalipo makazi ya Mzee Nkapa hahahahaa wewe bhana kumbe waifahamu Lushoto eee
twende zetu chit chat naona utatufaa sana au sio mkubwa wa kitengo Baba V,af lushoto kubwa,soni,kwa makamba,kwa mkapa au........?
 
Karibu sana mkuu. Lushoto kubwa sema unatokea upande upi tuko wengi humu.

Imi nh'iwa haja kitivo hehi na chakechake kaya kabisa n'h mkuzi kwe matunda.
 
Back
Top Bottom