Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa jamaa anataka formula ya IF=A3-B3 ,kamatia hiyo cell kwa chini scroll kwenda chini utapata majibu yote.
=IF((B4-TRUNC(B4))=0,A4-B4,IF((B4-TRUNC(B4))>0,A4-TRUNC(B4)-IF((B4-TRUNC(B4))=0.3,1,IF((B4-TRUNC(B4))=0.2,0.9,IF((B4-TRUNC(B4))=0.1,0.8)))))Naombeni mnisaidie formula ya kurahisisha kupata haya majibu kwenye excel.
Kila Box lina chupa 3, chupa 1 ni 0.1, chupa 2 ni 0.2, chupa 3 ni 0.3 sawa na box.
1 ni box moja, 1.1 ni box 1 na unit 1, 2.2 ni box 2 na unit 2, n.k.
View attachment 2692051
Box zikiwa 10 zikitoka 4 jibu liwe 6
Box zikiwa 8 zikitoka 3.3 jibu liwe 4
Box zikiwa 7 zikitoka 6.2 jibu liwe 0.1
Box zikiwa 6 zikitoka 5.1 jibu liwe 0.2
Box zikiwa 5 zikitoka 4 jibu liwe 1
Box zikiwa 4 zikitoka 2.1 jibu liwe 1.2
Mwamba kama mwamba, mzee kwenye excel unatisha kama ukoma=IF((B4-TRUNC(B4))=0,A4-B4,IF((B4-TRUNC(B4))>0,A4-TRUNC(B4)-IF((B4-TRUNC(B4))=0.3,1,IF((B4-TRUNC(B4))=0.2,0.9,IF((B4-TRUNC(B4))=0.1,0.8)))))