thephilanthropist
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 207
- 339
Hali ya hewa mbaya kvp mbona siku izi mvua zmetuliaCivil atajiongeza na Architect. Atajiiba na Umeme kwa mbaaaali, Kikubwa awe fundi mkuu, Hali ya hewa ni mbaya sana
Huyo kijana ana malengo ya kuwa nani?Kapata matokeo mazuri sana, kwa hiyo Competition sizani kama itakua ni tatizo sana, kubwa anataka kujua course mzuri ya Kusoma.
Matokeo.
Chemistry A, Physics A , Adv Mathematics A .
Ya kuwa mwananchi mtiifu wa fisiemuHuyo kijana ana malengo ya kuwa nani?
Ni wew usimsingizie mdogo wako HongeraKapata matokeo mazuri sana, kwa hiyo Competition sizani kama itakua ni tatizo sana, kubwa anataka kujua course mzuri ya Kusoma.
Matokeo.
Chemistry A, Physics A , Adv Mathematics A .
Kasoma PCM not PCBBiology?
Kwa kweli kizazi hiki cha maajabu anamaliza six tena genius hivgo ila hajui chuo hakasome niniNgoja waje kukupa muongozo
NB: Mimi nlipokuwa Advance nilikuwa najua naenda kusoma nini endapo nikifika chuo, Mungu ni mwema nikaangukia mule mule japo sio kwa asilimia zote za matarajio
Je, huyo Dogo hakuwa anajua kabisa anataka kusoma nini Chuo endapo akifaulu vizuri kama hivyo?
Aisee!Watoto wasikuhizi wanafaulu lakini hawajui nini wanataka kusoma ni tabu saana
Yaani hapo hizo A buree kabisaKwa kweli kizazi hiki cha maajabu anamaliza six tena genius hivgo ila hajui chuo hakasome nini