Naombeni mnisaidie kumshauri mdogo wangu Course ya Kusoma

Naombeni mnisaidie kumshauri mdogo wangu Course ya Kusoma

Akasome Actuarial science UDSM, kwa max hizo lazima atakula 1st class akikaza. Akiwa mwaka wa 3 semester ya 2 anaomba big 4 Audit firms, kwa max hizo lazima atapata tu na hata jutia.
 
Kwa kweli kizazi hiki cha maajabu anamaliza six tena genius hivgo ila hajui chuo hakasome nini
Ndio maana hatushangai wanavyofaulu sana maana mambo yashakuwa rahisi hata hawajishughulishi.

Nakumbuka Advance tulikuwa tunawaalika watu tofauti tofauti ambao wengine ni Alumunus wa Shule yetu waliopo makazini au Chuo walikuwa wanakuja kutupa nasaha za masomo ya juu na namna ya kuchagua kozi kulingana na ufaulu.

Hilo lilienda sambamba na kujukishwa vyuo mbalimbali vyenye hizo kozi.

Hapo ndio ilikuwa inatutia mzuka, pia ukizingatia ukiambia Chuo mnapata Boom na life linakuwa safi. Wengine tulianza kulala Darasani kwa ajili ya msuli tembo kutokana na hizo hamasa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Akasome Actuarial science UDSM, kwa max hizo lazima atakula 1st class akikaza. Akiwa mwaka wa 3 semester ya 2 anaomba big 4 Audit firms, kwa max hizo lazima atapata tu na hata jutia.
Mhh hapo hayo matrajio.ya pass za Chuo usimpe kichwa ...anaweza kutana na Mazingira tofauti ikawa ndiyo sio...Kuna kina Hamisa Mobeto kule ohooo!
 
Yes, muhas hamna walimu wa Engineering, kwahiyo wanafunzi wanakuja wanasoma anatomy then wanapelekwa MUST huko ndio kuna ma Engineer , wanaendeleza kozi
Mwaka 2022 waliajiri Tutorials Assistant wa Biomedical Engineering, kwamba bado hawajakidhi mahitaji..
 
Mi mwenyewe nilipasua hivihivi sahizi huyoo nikiwa natoka zangu kipindi
 

Attachments

  • bced7ceaac6c4791837591688cd81534.jpg
    bced7ceaac6c4791837591688cd81534.jpg
    51.6 KB · Views: 4
Kwa ufaulu huo kama kweli ni nondo kichwani mwambie atafute scholarship hususani full funded scholarship, mfano kuna korea full funded government scholarship, maelezo zaidi atayapata ofisi za ubalozi wa korea au hata google jinsi ya kuapply.

Nchi nyingine nyingi nazo pia zinatoa hizo scholarahip ukiwa na ufaulu mzuri.
Kama akishindwa kuapply mwenyewe mwambie atafute shirika linaitwa TanSAO wapo instagram watamsaidia au shirika lingine lolote.

I wish you all the best.
 
Back
Top Bottom