Naombeni mnisaidie Tafsiri ya ndoto hii

Naombeni mnisaidie Tafsiri ya ndoto hii

girose

New Member
Joined
Feb 23, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Wanandugu, naomba mnisaidie maana ya ndoto hii.

Juzi nimeota ndoto moja hivi ambayo inanisumbua mpaka sasa. Niliota kwamba Mwalimu Mwakasege anagonga hodi nikamfungulia. Nilipomfungulia mlango akaingia huku akisema ya kwamba amezunguka sana akipatafuta ninapoishi. ndipo alipoingia akakaa kwenye sofa.

Baada ya kukaa Mwl Mwakasege akaniambia ana jambo la msingi la kuniambia lakini nisijisikie vibaya. Akaniambia jambo moja tuu, haya mambo ya likizo likizo sio mazuri.

Naombeni mnisaiidie wadau.
 
Wanandugu, naomba mnisaidie maana ya ndoto hii.

Juzi nimeota ndoto moja hivi ambayo inanisumbua mpaka sasa. Niliota kwamba Mwalimu Mwakasege anagonga hodi nikamfungulia. Nilipomfungulia mlango akaingia huku akisema ya kwamba amezunguka sana akipatafuta ninapoishi. ndipo alipoingia akakaa kwenye sofa.

Baada ya kukaa Mwl Mwakasege akaniambia ana jambo la msingi la kuniambia lakini nisijisikie vibaya. Akaniambia jambo moja tuu, haya mambo ya likizo likizo sio mazuri.

Naombeni mnisaiidie wadau.
Upo mbali na Muumba wako,Ni Yesu ndiye anayekutafuta na kukukosa kwenye uwepo wake,umejitenga mbali na Mungu Ila bado Mungu amekupa neema ,usiache Wala kupuuza Mambo ya ibada
 
Back
Top Bottom