Vipi nikiwekee songi laMbona kimya🙇🙇
Juma Nature aka Kiroboto, ana album tano:
Badhi ya pini zake hizi:
- Nini Chanzo (2001)
- Ugali (2003)
- Ubinadamu-Kazi (2005)
- Zote History (2006)
- Tugawane Umaskini (2009)
Mtoto Iddi
Hakuna Kulala
Sitaki Demu
Ugali
Mzee Wa Busara
Inaniuma Sana
Ugali
Utajiju
Ubinadamu Kazi
Kisa Demu
Koma
Sir Nature
Hakuna Kulala
Jinsi Kijana
Nini Chanzo
Hali Ngumu
Mikiki Mikiki
Tugawane Umasikini
Mugambo
Dogo
Kighetto Ghetto
Umoja wa Tanzania
Unayumba
Sonia
Nini Chanzo ?
Sherehe
Salio la Verse
Kitu Kipya
Lakuvunda
Africa
Histori
Juma Nature aka Kiroboto, ana album tano:
Wakuu ahsanteni kwa kunitajihizo nimewarudia tena.Leo katika pekua pekua kwenye Tarakirishi nimekuta wimbo mmoja wa Kayumba. Nimejikuta napenda uimbaji wake basi ikiwapendeza naombeni orodha ya nyimbo zote za huyu kayumba. Much regards...Naja feat.squeezer,hili game na TID
Wakuu ahsanteni kwa kunitajihizo nimewarudia tena.Leo katika pekua pekua kwenye Tarakirishi nimekuta wimbo mmoja wa Kayumba. Nimejikuta napenda uimbaji wake basi ikiwapendeza naombeni orodha ya nyimbo zote za huyu kayumba. Much regards...
(Sijui nyimbo za wasanii wa hapa kwetu kabisa na sipo Kwenye platform Yoyote ya kunipa updates za wasanii. )
Hao hawana mpango, wanaitwa One Hit Wonder tuHabari,
Naombeni mnitajie nyimbo za Juma Nature zote alizoimba na kushirikishwa. Najua nyimbo zake hizi tu.
Kwa mlionazo kama itawezekana naombeni mniwekee hapa nizipakue.
- Mtoto Idd
- Mikikimikiki
- Sitaki demu
- Mgambo
Nyongeza.
Naombeni pia nyimbo za Twanga pepepeta/Banza Stone na Mwinjuma muminim. Ninajua wimbo mmoja tu wa Mtu pesa
-Thanks✌️
"nOna madaktari wanatufanyia maksudi....kwanza ukimpeleka mgonjwa walingee weee..hujajibu vizuri..vuup vuup huyu" hahaha nature alitisha sana humo kwenye matatizo ya daz nundaPia ana ngoma nyingi mno za kushirikishwa ngoja nitaje nnazozikumbuka kabla sijalala;
1. Zali la mentali-- Prof Jay
2. Msela--Ngwea
3. Mambo ya Pwani--SoloThang
4. Tatu bila
5. Kamua Baba--GWM
6. Radhia--Dolo
7. Jinsi tulivyo-- Chege
8. Mtulize--Mabaga Fresh
9. Umuhimu wako--Jide
10. Naja--Squizer
11. Wasiwasi--Stopa Rhymes
12. Gado Remix -- Zay B
13. Nampenda--Mike Tee
14. Tina-- Fresh P
15. Mtoto wa Jakaya--Ngwea
16. Hatuna kitu--Rich One
17. Ndio mzee--Prof Jay
18. Kiboko ya Mabishoo--Hamorapa
19. Haina kuremba--Inspekta
20. Hajazaa--Voice Wonder
21. Tunafanya kazi--K South
22. Bosi--Feruzi
23. Siri ya Mchezo-- Fid Q
24. Kama kawa--Babalevo
25. Popote kambi--Young Killer
26. Buti na Shati--Cannibal
27. Huyu demu--Joseline
28. Almas--Salu T
29. P Funk--Ndani ya Club
30. Kulwa na Dotto--Soggy Doggy
31. Ni mshamba--Jay Mo
32. Jela--Daz Baba
33. Matatizo Remix--Daz Nundaz
Wakuu ahsanteni kwa kunitajihizo nimewarudia tena.Leo katika pekua pekua kwenye Tarakirishi nimekuta wimbo mmoja wa Kayumba. Nimejikuta napenda uimbaji wake basi ikiwapendeza naombeni orodha ya nyimbo zote za huyu kayumba. Much regards...
(Sijui nyimbo za wasanii wa hapa kwetu kabisa na sipo Kwenye platform Yoyote ya kunipa updates za wasanii. )