Naombeni Mrejesho kwanini watu wanaisifia sana Carina TI?

Naombeni Mrejesho kwanini watu wanaisifia sana Carina TI?

Hamna gari ambayo ina upuuzi kama Range Rover ama Euro makes! Usifikirie akili za mjapani unaweza kuztumia mule au janja janja yeyote ile[emoji28][emoji28][emoji28]!

Gari inafanya kazi in coordination na vitu vyote na tena vinakuwa na module ya ku control! Ukikata fuse moja tu gari zima hali function sababu kuna kitu hakipo sawa[emoji23]

We unafikiri ni kama mjapani utachomoa fuse ya honi upachike kwenye AC?

Mkuu hizi gari za kisasa ni shida!kuna hii chombo ya ofisini gari imekaa wiki tatu porini ina dai password.Hapa ndio niliamini mafundi wengi wa bongo ni vilaza tu maana iliwahenyesha kweli amekuja Fundi kutoka Kenya kaitibu!!!
cda2ebb3-dcb3-4bbb-8bc4-8f804354d23d.jpg
 
kwa ufupi:
Carina TI, SI na GT.
Japan walizitengeneza kwa mfumo wa kipekee sana, asilimia kubwa ya wanaozinunua hizi gari na kumiliki sio kufuata mkumbo bali kuna wanachokijua na kupenda kuhusiana na hizo gari.

Binafsi nanunua na kubadili usafiri lakini Carina moja ipo napeta nayo vizuri tu. Kilichonivutia ni ujuzi uliotumika kuunda engine yake ndio maana kampuni ya Tata India walipanda dau na kuinunua.

Engine yake inauwezo kutumia multipurpose oil pia unaweza tumia hata zile "oil mwitu" itasmoke kidogo ila ukirudisha oil nzuri na yenyewe inakaa sawa. Ukizidisha mda wa service itakuvumilia sana mpaka uone aibu.

Huu mchezo kaujaribu kwenye Japanese engines za top coil ignitions, utafurahia matokeo.
Hii gari kwangu mimi haina mvuto siwezi kung'oa demu kizembe zembe na carina road
kila mtu ananunua gari kwa malengo flani
 
Mkuu hizi gari za kisasa ni shida!kuna hii chombo ya ofisini gari imekaa wiki tatu porini ina dai password.Hapa ndio niliamini mafundi wengi wa bongo ni vilaza tu maana iliwahenyesha kweli amekuja Fundi kutoka Kenya kaitibu!!!View attachment 2039400
Gari inadai password ya kazi gani tena imekuwa simu au haikuamini dereva?

Huu upuuzi huwezi kukuta mjapani kaweka kwenye gari yake😂 hata siku moja! Hapo bila mkenya gari ilikuwa ya kutupa hio!
 
Gari inadai password ya kazi gani tena imekuwa simu au haikuamini dereva?

Huu upuuzi huwezi kukuta mjapani kaweka kwenye gari yake[emoji23] hata siku moja! Hapo bila mkenya gari ilikuwa ya kutupa hio!

Gari inadai password ya kazi gani tena imekuwa simu au haikuamini dereva?

Huu upuuzi huwezi kukuta mjapani kaweka kwenye gari yake[emoji23] hata siku moja! Hapo bila mkenya gari ilikuwa ya kutupa hio!

Siku izi hizi gari za kisasa nyingi ni computerized,hiyo ni iveco stralis ili bid I mzigo tufaulishe kwenye gari nyingine.
 
Sasa na wale madereva machalii wa kuokoteza kwa connection si ni balaa mkuu?

Huwezi mpatia mtu asiye jitambua gari kama hii ni bora ukiwa na mashaka ukaacha kumpa gari au ukamtupe kwenye mninga scania 113 uko tena steemliner!
 
IST 1500Cc natembea 20/Lita kwa highway, mpaka mwenyewe sijaamini aisee.
Na ni ya muda ni Number C.
Acha kudanganya watu ndugu,wengi humu tunamiliki magari miaka nenda rudi, kilometer 20 per litter unaijua vzr wewe?
 
Mkuu uko sahihi kabisa!!!Yaaani kwenye service ni bei cheee tu hata ukipitiliza service hakina shida.nina bmw 1 series kaka oil filter tu elf 80!najuta kununua hii gari nimetafuta mteja bei hawafiki ila Corolla kila siku watu wanafika dau!View attachment 2039078
Ulinunua gari kwa kufuata mkumbo?

Kwamba hukufanya utafiti wa gharama za matunzo ulinganishe na uwezo wa mfuko wako?

Kabla ya kununua ulitakiwa uangalie bei ya spare parts ambazo zipo likely kuharibika mara kwa mara then ulinganishe na mfuko wako.
 
Yani ni uzembe wa hali ya juu sana kujadili Carina Ti/ Rav 4 Old model 1990!
Jman sasa hivu tunaangalia SUV AMBAYO inayotumia mafuta vizur zaid N iwe durable.
Mambo ya kujadili gar za miaka ya nyima zishapitw na wakat.
Eti utakta mwanaume anandesha old model Vits, carina, premior ata ukipark somewhere hakuna mtu anapay Attention kwako.Kasheshe utakapokwama sasa let say unahitaj mkopo wa dharula then unawega gar dhamana ndipo utakapojua kuwa gari unayomiliki ni ya kibwege.

Zungumzien SUV CARS kama hizi na zinginezoView attachment 1970427View attachment 1970428View attachment 1970429View attachment 1970430
Mkuu hapo hakuna SUV bali kuna Crossover au Station wagon SUV hua ni body on chassis...
 
Exact.

Hata dualis ya Cc2000 inatumia mafuta vizuri kuliko carina.

Hata murano la Cc2500 ukilikuta zima linatumia mafuta vizuri kuliko Carina.
Kwenye Dualis ni kweli kabisa haina ubishi. Sijacheki na murano nijue zina consumption ya kiwango gani.
 
Haya mambo ya kukatika fuse ulale porini, Kiupande fulani siyo sawa.

Gari huwa inakuwa na spare fuse mkizitumia huwa hamnunui zingine?

Okay hauna spare fuse, Katika fuse zote zilizopo kwenye gari hamna fuse inaingiliana na hiyo iliyoungua?

Kachomoe fuse yoyote ambayo ni less important chomeka then endelea na maisha.

Mkuu, hilo linawezekana endapo fuse husika ni ya aina moja yaani moto unaotoa. Kwa mfano unakuta fuse ya taa ni kubwa kuliko ya radio au fuse ya starter ni kubwa, slot compartment haiingiliani labda moja ni kubwa nyingine ni ndogo, kwa vyovyote unaweza kulala kizembe tu njiani na usiamini kilichotokea
 
Back
Top Bottom