aisee tafuta kazi ya umoderator..
Nafikiri sijaona umuhimu wa baadhi yetu kuilalamikia mamlaka huyu jamaa kasema AMEAJIRIWA APRIL 2014 sasa MWAKA HAUJATIMIA malalamiko yanin serikalini hawaangalii nani kapata ndo mwingine apewe its matter of time na regulations.
cha kulalamikia sio uthibitisho kazini ambao kweli ni baada ya mwaka. cha kulaumu ni tsd letter (barua rasmi ya ajira) ambayo ki sheria ni miezi mitatu tu! sasa sijui kama tangu april 2014 hadi sasa haijaisha miezi mitatu?????!!!!!!!