CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
Tafadhali naombeni msaada, nimeajiriwa april mwaka jana.. hadi muda huu sijapata tsd no. wala barua ya kuthibitishwa kazini.. je kuna vigezo gani vinatumika? maana nimeona wengine tumeajiriwa wote wameshapata...
na je nikitaka mkopo nmb hadi niwe na hiyo barua ya kuthibitishwa??
tafadhali sitaki kejeli kama hujui pita tu.
na je nikitaka mkopo nmb hadi niwe na hiyo barua ya kuthibitishwa??
tafadhali sitaki kejeli kama hujui pita tu.