Pole sana kaka yanguMimi ni kijana wa kiume umri wa miake 26 ni na uzito wa kilo 62. Tatizo linalinipatani kuwa kadri muda unavuokwenda maziwa yangu yanazidi kuongeza hali inayonikosesha sana amani hata kuvua shati mbele za watu.
kiujumla mwili wangu ni mwembaba wa wastani ila maziwa tuu ndo yanakuwa yakiongezeka. natumia sana vyakula vya asili kama dona maziwa karanga na viazj vitamu. Tatizo hili limeanza mkaka 3 iliyipita na nimajaribu kufanya mazoezi, sjjapata matokeo chanya...
Naombeni ushauri wa kitaalam nifanyaje?.
hapana situmii mkuu then nipo Iringa vijijini hata upatikanaji wake ni taabu sanaDuh[emoji55]
Inategemea na mazoezi unayofanya jaribu kuruka kamba,push ups usile vyakula vya supermarket,Vyakula vilivyokaa sana kwenye friji, kunywa maji kwa wingi lita 4 kwa siku mpaka 5
Labda unabalehe tena.Mimi ni kijana wa kiume umri wa miake 26 ni na uzito wa kilo 62. Tatizo linalinipatani kuwa kadri muda unavuokwenda maziwa yangu yanazidi kuongeza hali inayonikosesha sana amani hata kuvua shati mbele za watu.
kiujumla mwili wangu ni mwembaba wa wastani ila maziwa tuu ndo yanakuwa yakiongezeka. natumia sana vyakula vya asili kama dona maziwa karanga na viazj vitamu. Tatizo hili limeanza mkaka 3 iliyipita na nimajaribu kufanya mazoezi, sjjapata matokeo chanya...
Naombeni ushauri wa kitaalam nifanyaje?.
Tatizo lako linaitwa gynecomastiaMimi ni kijana wa kiume umri wa miake 26 ni na uzito wa kilo 62. Tatizo linalinipatani kuwa kadri muda unavuokwenda maziwa yangu yanazidi kuongeza hali inayonikosesha sana amani hata kuvua shati mbele za watu.
kiujumla mwili wangu ni mwembaba wa wastani ila maziwa tuu ndo yanakuwa yakiongezeka. natumia sana vyakula vya asili kama dona maziwa karanga na viazj vitamu. Tatizo hili limeanza mkaka 3 iliyipita na nimajaribu kufanya mazoezi, sjjapata matokeo chanya...
Naombeni ushauri wa kitaalam nifanyaje?.
Hahaha kausha mwache utamwongezea mawazoNenda hospital ndugu yangu maana si hali ya kawaida usifanye mzaha maana utaanza kugombania sidiria madukani usipokuwa muangalifu
Si inasemwa kwamba kuna wanaochelewa kubalehe. Kuna mtu nilishamuona akiwa hivyo ila sasa hana hiyo hali tena, ila yeye ilimtokea akiwa dogo sasa ni mtu mzima.hapana mkuu mwili ni mwembaba na urefu ni cm 182
asante mkuuMkuu kuna madaktari kutoka nje ya nchi ambao huja kila mwaka nadhani na hufanya hizo operation.
Mwaka huu walikuwa pale bombo hospitali, Tanga nafikiri mwezi wa tano.
Walifanya operation za aina hiyo kwa wanaume na pia watoto walio na mpasuko mdomoni.
Wanakuja lini tena sijui. Ila ni muhimu ukaenda hospitali waku asses na kukushauri. Omba kumwona Dr. Bingwa wa upasuaji.
suluhisho mkuu au dawa yake nn?Tatizo lako linaitwa gynecomastia
Gynecomastia is swelling of the breast tissue in boys or men, caused by an imbalance of the hormones estrogen and testosterone. Gynecomastia can affect one or both breasts, sometimes unevenly. Newborns, boys going through puberty and older men may develop gynecomastia as a result of normal changes in hormone levels.
Inamaanisha kuota kwa maziwa uoande mmoja au yote na inasababishwa na hormonal imbalances maana mwanaume ana testosterone ambayo ni ya kiume ndyo iliyo kwa wing na pia mwanaume ana estrogen hormine ya kike ila mwanaume anatakiwa kuwa na idadi kubwa ya Testosterone sasa ikipunguwa inafanya estrogen kuongezeka na kuleta jinsia za kike kutokana na *Obesity*,*kula mla ambao sio wa afya*, mabadiliko ya mwili na kazalika
Madaktar wengi wanashaur mazoez(viungo mwili mzma na chuma pia upande wa chest mgongo na sehem nyngne za mwili),kupunguza stress, kula mlo kamili Carbohydrates,kupata mda wa kutosha kupumzika(kulala) huo ndo kwa ushaur wangu mkuusuluhisho mkuu au dawa yake nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23]Labda unabalehe tena.
Madaktar wengi wanashaur mazoez(viungo mwili mzma na chuma pia upande wa chest mgongo na sehem nyngne za mwili),kupunguza stress, kula mlo kamili Carbohydrates,kupata mda wa kutosha kupumzika(kulala) huo ndo kwa ushaur wangu mkuu