Naombeni msaada na ushauri. Kila wakati nashtuka bila sababu

Naombeni msaada na ushauri. Kila wakati nashtuka bila sababu

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Habari za muda huu wakuu, hili imeanza muda lakn sasa hivi imeshika kasi, yani ipo hivi naweza kuwa nimelala au nimekaa au nafanya mishe yeyote lakini ghafla nikapata mshtuko hadi watu wa karibu wanauliza nashtuka nini.

Mimi mwenyewe nashangaa kwanini nimeshtuka na hakuna hali yoyote ya hatari na wala sioti ndoto mbaya. Msaada wajuzi tatizo linaweza kusabisha na nini?
 
Kapime uzito wako kama unaendana na urefu wako

Punguza mawazo kuwaza waza sana sio ishu..

Cha Mwisho acha kushabikia simba yawezekana inakuongezea mishtuko ya ubongo
 
Stress
Unapokea maneno negative zid yako
BP
 
Back
Top Bottom