The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
GECKO! ... au, kwa kisukuma, SHIGONI!kama tule tweupe kimbia tu hospital
hujafa badoDakika kumi zilizopita nilikuwa nimekaa chini ya mti nakula upepo, mara ghafla kamjusi kadogo kakaanguka kutoka mtini na kutua shingoni. Kamening'ata na sasaivi shingo imeanza kuwasha na kuvimba.
Naogopa kufa, bado sijapublish theory yangu ya Everything...naombeni msaada Jf doctor
Kaka p2 na mjusi wapi na wapi😀🤣Njooo hapa Muhimbili umeze P2 ili cells za sumu ya huyo mjusi zisiendeleee kuzaliana
Mjuzi ni nn?Kaka p2 na mjuzi wapi na wapi😀🤣
Ume lewa wewe, hebu Soma vizuri😀Mjuzi ni nn?
Umeedit angalia nliyoquoteUme lewa wewe, hebu Soma vizuri😀