Naombeni msaada: Nimeng'atwa na mjusi shingoni

Naombeni msaada: Nimeng'atwa na mjusi shingoni

Wahi hospitali... Baadhi ya mijusi ina sumu kali sana...
Kumbuka.. Mamia ya watu wanakufa na sumu inayotoka na mijusi...
 
Mkuu umasikini mubaya sana tafuta ..ela sana ..adi mjusi anakubite??
 
Dakika kumi zilizopita nilikuwa nimekaa chini ya mti nakula upepo, mara ghafla kamjusi kadogo kakaanguka kutoka mtini na kutua shingoni. Kamening'ata na sasaivi shingo imeanza kuwasha na kuvimba.

Naogopa kufa, bado sijapublish theory yangu ya Everything...naombeni msaada Jf doctor:Floshed:
UKIMUONA HUYU MJUSI KAFIRI NYUMBANI KWAKO MUUWE NI KIUMBE HATARI SANA KWAKO NA PIA NI ADUWI KWAKO MKUBWA.


 
Wakuu niliwahi hospital.....nmepona ila,,,,,,,,,,,,,,,,,kwa mbinde sana
Pole sana mkuu!

Vipi ilikuwaje?

Humu masikhara mengi unaweza kufa wakiwa wanakufanyia jokes! Hakuna tofauti na wale wanaowarekodi wenzao wakifa.
 
Soon unakuwa Mjusi man😁😁😁

Utaanza kukamata wadudu waharibifu wa Mali za Tanzania
 
Bora ungen'gatwa na mimi uwe Spiderman unabusu tu wanawake ukiwa kichwa chini miguu juu
 
Mjusi tu unafungulia uzi, watu wanapambana na Simba maporini na hawasemi.
 
Back
Top Bottom