Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Mambo ya koka hayoKamjusi tu unapiga mayowe kiasi hikiii!!! Wavulana wa dar mkoje!
Sisi enzi zetu tulikuwa tunang'atwa na vifaru lakini tunakaza kweRi kweRi.
Sasa hako kamjusi hakajai hata sahani, hakana cha sumu wala nini!
Ungebomolewa visigino na kifaru ingekuwaje!?
Poor Brain cocastic
Unampata huyu jamaa steve mweusi πππππShukuru umeng'atwa shingoni.. (in steve mweusi voice
waliosoma Cuba wamenielewa
Weeeeeh weeeeh ety kifaruKamjusi tu unapiga mayowe kiasi hikiii!!! Wavulana wa dar mkoje!
Sisi enzi zetu tulikuwa tunang'atwa na vifaru lakini tunakaza kweRi kweRi.
Sasa hako kamjusi hakajai hata sahani, hakana cha sumu wala nini!
Ungebomolewa visigino na kifaru ingekuwaje!?
Poor Brain cocastic
Mamia ya wapi πππππWahi hospitali... Baadhi ya mijusi ina sumu kali sana...
Kumbuka.. Mamia ya watu wanakufa na sumu inayotoka na mijusi...
UKIMUONA HUYU MJUSI KAFIRI NYUMBANI KWAKO MUUWE NI KIUMBE HATARI SANA KWAKO NA PIA NI ADUWI KWAKO MKUBWA.Dakika kumi zilizopita nilikuwa nimekaa chini ya mti nakula upepo, mara ghafla kamjusi kadogo kakaanguka kutoka mtini na kutua shingoni. Kamening'ata na sasaivi shingo imeanza kuwasha na kuvimba.
Naogopa kufa, bado sijapublish theory yangu ya Everything...naombeni msaada Jf doctor
Mbinguni..Mamia ya wapi πππππ
Pole sana mkuu!Wakuu niliwahi hospital.....nmepona ila,,,,,,,,,,,,,,,,,kwa mbinde sana
Ndio favourite comedian kwangu mkuuπ€£π€£π€£ kichwa kibovu kileUnampata huyu jamaa steve mweusi πππππ
ππOohh MAREHEMU alin'gatwa na mjusi ndo ikawa safari yake...Mungu amempenda zaidi
Yeye yupo na hamadi kijicho tuu πππππππNdio favourite comedian kwangu mkuuπ€£π€£π€£ kichwa kibovu kile
Wa mkurangaYeye yupo na hamadi kijicho tuu πππππππ