Naombeni msaada wa kiafya kuhusu afya yangu

Naombeni msaada wa kiafya kuhusu afya yangu

Nisiwachoshe, mimi ni mwathirika wa ukimwi, niligundua muda tu, sasa kutokana na zile post za yule jamaa kwamba dawa ndio zinaenda kukimaliza nikamfata yeye, sijawahi kutumia ARV, nikawa tu najitahidi kula vizuri.

Nilihakikisha nakula milo mingi zaid na matunda na maji mengi, bwana wee hapa juzi si nikashikwa na vidonda vya tumbo ndio nimeumwa kwa muda, sasa ndio hali ikawa sio hali.

Mwili umekonda kwa sasa naonekana kabisaa, sasa nawaleteeni nyinyi waungwana maana jana asubuhi naangalia vidole vya mikono vimekua vidogo, nisaidieni kama kuna mwenye kujua haya madawa ya asili, au za ksuni au kwa chochote, ahsanteni.
Mkuu Pole sana kwa kupata maradhi ya Upungufu wa Kinga mwilini yaani UKIMWI. Ukiweza nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako. Mimi nitakusaidai hivyo vidonda vyako vya tumbo. (STOMACH ULCERS) Kwa ushauri wangu huu nenda hospitali asubuhi kapime Mkojo wako je upo msafi ? Hauna maradhi yoyote yale? Ukisha kupima Mkojo wako Daktari amekwambia hauna Maradhi yoyote yale. Siku ya pili yake kesho asubuhi unapo amka kabla ya kula kitu asubuhi Kojoa Mkojo wako na ukinge mkojo wako kikombe 1 kisha kunywa . Baada ya kwisha kunywa kaa kwa muda wa saa moja pasipo na kula kitu tumboni. Baada ya saa 1 kupita waweza kula chakula chochote kile. Fanya utaratibu huo kwa muda wa siku 11 au siku 15. kisha nenda Hospitali kapime vidonda vyako vya tumbo utakuta hauna tena hayo maradhi. Tumia hiyo njia kisha uje ulete hapa Mrejesho wako. Ushauri wangu Kuhusu ukimwi fanya hivi Jitahidi kunywa maji mengi ya uvuguvugu kwa siku kunywa maji lita 4 kunywa maji glasi 2 kila baada ya Masaa3 , kula matunda kwa wingi kula mboga za majani achana na kula vyakula vyenye sukari acha kunywa pombe acha kunywa Soda ya aina yoyote ile, punguza stress, lala kwa usiku masaa 8 na kula vyakula visivyokobolewa utakuwa na afya nzuri ninakıutakia kila la kheri si mwingine bali ni Mimi Herbalist Dr.MziziMkavu.
 
Tumia ARV ndugu yangu, usifuate maneno ya watu ambao siyo wanasayansi wanaongea kwa stori za vijiweni.
Tumia ARV, jitunze,kula vizuri na mazoezi.
Usipotumia ARV virusi vitazidi nguvu kinga zako na kujikuta unaingia matatizoni.
ARV ni sumu. Usikariri NOTES ZA SHULE YA KATA.

Zile NOTES ni UCHWARA, zimekusababisha uamini kwamba SUMU NI DAWA.

Wewe hauna ELIMU THABITI. Wewe ni KASUKU WA SHULE YA KATA.

Zile notes ungezichoma moto uanze upya kuwasikiliza wajuvi.
 
Nisiwachoshe, mimi ni mwathirika wa ukimwi, niligundua muda tu, sasa kutokana na zile post za yule jamaa kwamba dawa ndio zinaenda kukimaliza nikamfata yeye, sijawahi kutumia ARV, nikawa tu najitahidi kula vizuri.

Nilihakikisha nakula milo mingi zaid na matunda na maji mengi, bwana wee hapa juzi si nikashikwa na vidonda vya tumbo ndio nimeumwa kwa muda, sasa ndio hali ikawa sio hali.

Mwili umekonda kwa sasa naonekana kabisaa, sasa nawaleteeni nyinyi waungwana maana jana asubuhi naangalia vidole vya mikono vimekua vidogo, nisaidieni kama kuna mwenye kujua haya madawa ya asili, au za ksuni au kwa chochote, ahsanteni.
Wee kula vizuri tuu achana kabisa na arv hizo ni uzushi tuu
 
Apunguze hatari kwanini asikitulize ikiwa tayari ni muathirika?

Mleta mada wahi katumie dawa kisha ufuate taratibu zote za kuishi na maradhi hayo huku ukikaa mbali na ngono
Utakuwa si mfuatiliaji wa haya masuala vizuri mkuu

If you take HIV medicine and get and keep an undetectable viral load, you will not transmit HIV to your sex partner. Having an undetectable viral load likely reduces the risk of HIV transmission through sharing needles, syringes, or other drug injection equipment (for example, cookers), but we don't know by how much.

UKIMWI si ngono tu kuna njia nyingine pia huweza kuambukiza. Ndo maana nasema akitumia dawa basi kutakuwa na unafuu.
 
Nisiwachoshe, mimi ni mwathirika wa ukimwi, niligundua muda tu, sasa kutokana na zile post za yule jamaa kwamba dawa ndio zinaenda kukimaliza nikamfata yeye, sijawahi kutumia ARV, nikawa tu najitahidi kula vizuri.

Nilihakikisha nakula milo mingi zaid na matunda na maji mengi, bwana wee hapa juzi si nikashikwa na vidonda vya tumbo ndio nimeumwa kwa muda, sasa ndio hali ikawa sio hali.

Mwili umekonda kwa sasa naonekana kabisaa, sasa nawaleteeni nyinyi waungwana maana jana asubuhi naangalia vidole vya mikono vimekua vidogo, nisaidieni kama kuna mwenye kujua haya madawa ya asili, au za ksuni au kwa chochote, ahsanteni.
Unaishi dunia gani wewe? Bado unaamini wachawi kuponya HIV?
Nenda kaanze ARV Sasa hivi unakufa wakati si wako na unazidi kuambukiza wengine.
 
Sasa mbadala ninini kama asipo kunywa dawa
Unahitaji mbadala wa SUMU?

Ukipewa SUMU na ukaambiwa hiyo ni DAWA, kama una akili timamu hauhitaji mbadala wowote.

Hauhitaji kunywa dawa yoyote, wala hauhitaji kwenda kwa nabii au mganga wa kienyeji yeyote.

Unachotakiwa ni kuzitupa sumu jalalani. Hautakiwi kufanya kitu chochote kisha songa mbele.

Huu ni ushauri kwa watu wenye ELIMU THABITI. Huu si ushauri kwa makanjanja waliomeza NOTES ZA SHULE YA KATA.

ELIMU THABITI.
 
Kinachokumaliza wewe ni hiyo AKILI YAKO uliyoijaza sumu na MAWAZO MACHAFU.

Ngoja niandike KWA HERUFI KUBWA ili unipate vizuri sana.

Watu wengi hawajui ni kiasi gani AKILI YAKO ina nguvu ya kufanya na kusababisha lolote unalolifikiria.

Kila wazo baya linalotoka kwenye kichwa chako lina nguvu kubwa sanaa, na linaweza kukupa maradhi makubwa. Tena imebaki kidogo utapata na STROKE kabisa, domo litapinda kushoto kama mbuzi.

Una-disturb mwili wako, ndio maana unapata madonda tumboni. MAWAZO MACHAFU KICHWANI YA UKIMWI.

Nenda ukameze hizo SUMU ZA ARV, waambie wakudunge na MACHANJO YA CORONA, utapona kabisa.

Namuona israeli anakuita huku kashikilia KOPO LA ARV.

Vodacom, kazi ni kwako.
Huyu ana hoja ingawa ameandika kwa mihemko au hasira lkn dada kinachokukondesha ni mawazo au akili yako unavyoifanya iwaze vile unavyoeaza.
...
Ushauri wangu ni kwamba unatakiwa ufahamu ya kuwa sisi binadamu wote ni mavumbi na mavumbini tutarudi(yaan wote ni marehemu watarajiwa)bila kujali tutakufaje au kwa ajali au magonjwa au kwa mambo ya kishirikina ishi kama hakuna kufa,ishi kama huna maradhi hayo utayaona mabadiliko.

Wengi wanaishi na haya maradhi lkn hawajali walann na maisha Yao yanaenda.

Kuhuusu ARV hapa napata wakati mgumu kutoa ushauri juu haya Madawaska lkn ikikupendeza Fata ushauri wa wengi nenda kaanze dawa ili usiwaambukize wengine na ujaribu kusogeza muda wa kuishi zaidi ingawa hili la kuongeza muda wa kuishi kwangu ni nadharia tu mungu ndio mpanga wa yote.

Usisahau kumrudia mungu
 
nenda kaanze ARV Sasa hivi unakufa wakati si wako na unazidi kuambukiza wengine.
Huu ni ushauri kutoka kwa KASUKU aliyekariri NOTES ZA SHULE YA KATA.

Huu sio ushauri uliotokana na ELIMU THABITI.

ELIMU THABITI inakupa NURU ya kutofautisha kati ya SUMU na DAWA, wakati ELIMU YA MAKANJANJA WA SHULE ZA KATA inawageuza binadamu kuwa MAKASUKU wanaorudia rudia kutamka maelezo batili yaliyotoka kwenye NOTES UCHWARA ZA UDANGANYIFU.
 
Ukiwa na imani kubwa kwa Mungu hata maombi utapona, IMANI KUBWA KWA MUNGU
 
Huyo anauza GENGE LA ARV, ni DALALI.

Wagonjwa wa UKIMWI kwake ni faida. Anaingiza vijisenti vya kununua dagaa.

Huhitaji mbadala wowote wa ARV kwa sababu ARV ni sumu. Hakuna mbadala wa sumu.

Kama una magonjwa mengine kama gonorea nenda ukayatibu hayo.
Mimi naomba nikuulize swali hapa mkuu.
Wakati ukimwi unaingia TZ ulianzia Kagera. Wakati huo hakuna aliyekuwa na taarifa juu yake. Watu wakaunasa wakakonda wakaisha hadi wahaya wakauita slim kutoka neno la kingeereza kwa kuwa watu walikuwa wanakonda mtu hata akilala kitandani haonekani.
Lakini wakati huo hata ARV hazikuwepo, so watu hawakuwa wakitumia ARV lakini bado walikonda na wakafa. Kuna maeneo kama kiziba hadi nyumba zilifungwa unakuta mama, baba, mjomba wamekufa wote.
Sasa kitu gani kilifanya watu wapukutike wakati ARV hazikuwepo?
Na baada ya ARV kuwepo watu wakapungua kufa na wengine wakaishi na kufa wakiwa na miili yao.
Nina kaka yangu huu ni mwaka wa 17 anatumia ARV and yuko poa huwezi hata jua.
Nachotaka unieleweshe, ni kwanini kabla ya ARV ambayo umadai ni sumu bado watu walikuwa wanakonda na kufa vibaya sana.
Mind you siko hapa kukupinga ila nataka nipate elimu
 
My dear nenda na wahi hospitali kabla hujacgelewa, kabla virus havijakomaa kiasi kwamba dawa hazitasaidia tena

Usiwe unafata ushauri wowote katika swala la afya yako wa kukushauri awe mtaalam wa afya ambae ulifika jwa matibabu

Ukimwi n mbaya sana unaua vibaya mno yaani unakufa vibaya sana

Wahi hospitali mudaa huu umetoa post ungeenda hospitali aiseee
Jinga lingine hili
 
Hapa nahisi harufu ya jamaa mmoja
akijiita Deception huyo jamaa km jina lake lilivyo alikuwa km uyu tu akitoa majibu mepesimepesi kwa maswali magumu yanayohitaji maelezo ya kisayansi yeye akijibu kwa majibu mepesi, yaliyojaa kejeli na kukosa staha km huyu BICHWA KOMWE - tu tena bila hata ushahidi wowote ule wa kimantiki au hata uo wa google. sishashangai anaweza kuwa ni yeye uyu amebadili jina tu maana ilo halishindikani.

ndugu mleta uzi kama ni kweli upo ktk hali uliyoisema basi jua kuwa unaelekea ndiko siko.

hapa haitasaidia kukupamba. Wewe jikubali hali uliyonayo na uanze arv kwa chap sana. Acha kuskiza porojo za umu. Utapotea mazma uache simanzi kubwa kwa wanaokutegemea. nenda hospitali upate matibabu utakuwa sawa tu.

ukichelewa zaidi unaongeza uwezekano wa kupata mashambulizi ya wadudu kwenye ubongo na ikifika apo ni ngumu sana kupona.
 
Binamu yangu alifariki mwezi wa tatu mwaka huu binti mdogo tu miaka 25 kisa amegoma kutumia ARVs. Alikomaa sana na mlo kamili,mboga mboga lakini wapi,mwisho wa siku nimeenda kumuona akaniomba nimtunzie mwanae wa miaka 7. Siku 2 baadae akafariki,usipoanza dawa pasaka ijayo hufiki.

Achana na wanafiki,wazushi wanaokwambia usianze ARVs,zitakusaidia wewe kuishi ukiwa na afya njema lakini pia zitapunguza uwezekano wa wewe kuwaambukiza wengine. Good luck.
 
Nisiwachoshe, mimi ni mwathirika wa ukimwi, niligundua muda tu, sasa kutokana na zile post za yule jamaa kwamba dawa ndio zinaenda kukimaliza nikamfata yeye, sijawahi kutumia ARV, nikawa tu najitahidi kula vizuri.

Nilihakikisha nakula milo mingi zaid na matunda na maji mengi, bwana wee hapa juzi si nikashikwa na vidonda vya tumbo ndio nimeumwa kwa muda, sasa ndio hali ikawa sio hali.

Mwili umekonda kwa sasa naonekana kabisaa, sasa nawaleteeni nyinyi waungwana maana jana asubuhi naangalia vidole vya mikono vimekua vidogo, nisaidieni kama kuna mwenye kujua haya madawa ya asili, au za ksuni au kwa chochote, ahsanteni.
pole mkuu, utakua sawa.
 
Mods wampige ban huyu, nataka nikutukane matusi makubwa makubwa


Hivi kweli mtu damu ina virusi unaeza pona kweli bila dawa? Hivi virus unavijua wewe hukusoma darasani??


Unaumwa tu malaria wadudu wanajaa kweenye damu unalazwa vipi huo UKIMWI???



Nataka nikutukane mods waniruhusu
Anakera mno.
 
Back
Top Bottom