Naombeni msaada wa kiafya kuhusu afya yangu

Post za December zimeanza! Huwa mnalipwa au ni vitu vya kweli, why December sana kuelekea siku ya ukimwi?
 
Yaani wataalamu wa Afya walipokwambia wewe una HIV uliwaelewa na kuwaamini kwa 100%. Walipokwambia njia bora na mahususi ya kupambana na hiyo hali ni kumeza ARVs, hukutaka kuwaamini ukaja mitaani kuokoteza ushauri wa wajinga. Sasa unavuna mambo!
Urongo. Unampoteza mwenzako.

Wataalamu wa afya ndio hawa wanaosoma TWISHENI YA BAYOLOJI mchikichini! Hawana ELIMU THABITI.

Nimemshauri hapo aachane na huo UCHAFU WA ARV. HATAKUFA.

Hii ni ELIMU YA JUU ambayo haipo kwenye zile NOTES ZAKO UCHWARA ZA SHULE YA KATA.

Najua umehamaki huku ukitamani kunivaa. Nitakunyuka JUU NA CHINI.

Fuata maelekezo hayo, acha ukasuku. ARV NI SUMU.
 
Kunywa dawa ya mzungu uendelee kuishi ndugu. Huu ugonjwa ni wa mzungu huwezi utibu kwa dawa za kimasai
 
Hizi topic zimeshakuja humu tukamaliza Kila kitu
 
Mleta mada, kumbuka mashetani nao hujichanganya na binadamu hata kwenye forums zao ili kuwapoteza. Fuata ushauri wa madaktari, usifuate ushauri wa laymen wajuaji.
 
Nyie ni wajinga sana


Hizi takwimu za Nimri

Magonjwa ya mfumo wa upumuaji yanaua watanzania zaidi ya huo ukimwi halafu mnakuja hapa kujamba Jamba na Ukimwi!


Malaria Kwa hizi takwimu unaua zaidi ya huo ukimwi...


Hii mada imeshakuja humu tukamaliza labda uwe umejiunga majuzi humu
 
Anza kutumia ARVs, usione haya!

Harafu ondokana na Hofu.
Kinachomaliza Waathirika wa HIV wanapokuwa wamepima na kugundulika wana tatizo hilo ni Hofu! Hofu ni mlango Mkubwa wa adui kummaliza mtu!
Kupima leo na kugundulika una HIV siyo kufa leo au Kutokutwa na HIV siyo kinga ya kutokufa leo.
Kila mtu ameandikiwa tarehe na saa yake ya kufa!
Ukifuata maelekezo ya kunywa hizo dawa ARVs na kujilinda utarudi katika hali yako.

MWISHO! Uwe karibu na Mungu kuliko wakati wo wote! Kwa mimi Mkristo, mpokee Yesu Kristo Mwambie Mungu akusamehe dhambi zako, Yeye ni Mwenye rehema atakusaidia.
Utapata Faraja na Ujasiri wa kuhesabu tatizo hilo kama si kitu.
Wapo wengi wanaishi na tatizo hilo huwezi kuamini ukiwaona.

Fahamu vile vile sisi wanadamu ni Wapitaji na Wasafiri, kuna maisha mengine mazuri ya raha ambayo tutaenda kuishi baada ya kuumaliza mwendo hapa duniani.
🙏🙏🙏
 
Atumie njia gani sasa.??
 
Akiacha ARV atumie nn..?
 
Kilichokufanya uugue kwa mda mfup na kukonda kwa haraka ni CD4 zlkua zmeshuka sana ukawa unajipa moyo kwa muonekano wa mwil kua unaafya lakin kinga za mwil zkawa zinaliwa, ARV inasaidia kuvifubaza vizur na kuvizuia kuzaliana mwilin sio kuvimaliza na inalinda CD4 zako sasa apo ukienda clink kuanza dawa utakua kwenye hatar kubwa ya kukaa kitandan kwa muda mana dawa utakazo pewa ztakua strong kulko kinga zako za mwil il uweze kua stable..Ushaur wangu wahi CTC kesho asubh uanze counselling na kupewa ma Unga ya Vitamn yatakayo kupa nafuu kwa haraka tofaut na vyakula ulivyozoea kula
 
Nenda hospital pima kama una ugonjwa wowote ndani ya mwili unaokusumbua pambana uutibu kwanza. Pia kula milo hakuleti afya njema ila kufanya mifungo ya kiafya ni tiba bora hivyo nijunze kuhusu kufunga kiafya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…