munir salim
Member
- Mar 24, 2014
- 14
- 1
Ningependa kusomea fulcute za afya,kilimo
Hiyo ndiyo nini? nisaidieni nielewe.
Ningependa kusomea fulcute za afya,kilimo
Hiyo ndiyo nini? nisaidieni nielewe.
Nimemaliza kidato cha nne 2012 na kupata alama D katika masomo saba ambayo ni history, geograph, kiswahili, civics, commerce, bookkeeping, biology.
Nni chuo kipi naweza pata nafasi kozi ipi itafaa na yenye manufaa na soko kwa sasa
Nimemaliza kidato cha nne 2012 na kupata alama D katika masomo saba ambayo ni history, geograph, kiswahili, civics, commerce, bookkeeping, biology.
Nni chuo kipi naweza pata nafasi kozi ipi itafaa na yenye manufaa na soko kwa sasa
VETA Na Kozi UDEREVA.............Kila La Kheri.