munir salim
Member
- Mar 24, 2014
- 14
- 1
Nimemaliza kidato cha nne 2012 na kupata alama D katika masomo saba ambayo ni history, geograph, kiswahili, civics, commerce, bookkeeping, biology.
Nni chuo kipi naweza pata nafasi kozi ipi itafaa na yenye manufaa na soko kwa sasa
Nni chuo kipi naweza pata nafasi kozi ipi itafaa na yenye manufaa na soko kwa sasa