Naombeni msaada wa kimawazo nateseka

Naombeni msaada wa kimawazo nateseka

Status
Not open for further replies.

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Naongea kwa niaba ya aliekujabkuniomba ushauri!


Nilikua kwenye mahusiano na kaka mmoja tangu 2014, mwaka 2016 tukaanza kuishi pamoja bila kufunga ndoa lakini ukweni tulitambulishana, wakati huo mimi nilikua nina kazi yeye bado hajapata mishe ya maana, tumekaa hvo hvo mpaka nikajifungua mtoto wa kwanza,

mwaka 2020 nae akapata kazi, basi tukachanga hela mimi nikatoa milion moja yeye akatoa laki tisa tukanunua kiwanja!


sasa baada ya kupita mda nikawa namwambia twende kuangalia kiwanja chetu maana kiko mbali kidogo na tunapoishi akawa anakataa nisiende,

siku moja nikaamua kwenda mwenyewe nikakuta kwenye kile kiwanja tayari kuna nyumba inajengwa imefika kwenye Renta, nikarudi nyumbani nikamuuliza kwann anajenga nyumba mpaka inafika hatua hiyo bila kuniambia akaanza kusema alitaka tu anisapraizi na nimemuharibia kwendako,

basi ni nikaa kimya sasa imepita miezi nikamuuliza vp nyumba imefikia wapi nataka niendeko akasema hapana usiende bado iko pale pale kwenyw renta,

but mimi juzi nikaamua kwenda na mwanangu kufika kule site nikashangaa nyumba imeshakamilika kila kitu mpaka Rangi

cha kushangaza mule ndani ya nyumba kuna dada anaishi mule,

dah nilipigwa butwaa nikamuuliza yule dada mwenye nyumba wako mna mahusiano gani, akasema ye huyo ni mtu wake na wanamahusiano tangu zamani😥

niliumia sana ikabidi nikamuulize kuna mama mmoja jirani ambae ndie alituuzia kiwanja yule mama akaniambia eti mume wangu alimleta huyo dada hapo akasema eti ni mdogo wangu mimi

sasa nikarudi nyumbani jion nikamuuliza baba mtoto kua nimeenda site nimekuta nyumba imeisha na mtu anaishi humo je huyo mtu ni nani?

akasema kwamba ni mpangaji, nikamuuliza hivi inawezekanaje nyumba yako upangishe halafu sisi tupange pia , wakati nyumba ipo karibu basi hapo akaanza kunitusi kanitukana sana kwakweli

nina uchungu sana mpaka sasa roho inaniuma, since 2016 niko nae hana kazi na mtoto tumezaa, kiwanja tumechanga tena mimi nilitoa milioni yeye laki tisa, leo hii ananigeuka hivi?


naombeni ushauri jamani nianzie wapi?

nyaraka za kiwanja zinaonyesha jina langu na lake
 
Nyaraka zinazoweza kuonesha umiliki wa pamoja ni mkataba wa asili au hati....kama jina lako lipo kwenye nyaraka mojawapo kamtoe huyo dada maana ni mvamizi kwenye eneo lenu na wewe haujashirikishwa uwepo wake pale.
Anzia polisi au serikali ya mtaa kilipo kiwanja mumtoe....usiwe mnyonge.
 
Pole sana Dada yaani amekufanyia dharau ya kiwango kikubwa. Halafu huyo jamaa hakupendi tena sio kawaida hakupendi toka moyoni.
Kama hati ina jina lako na lake hapo ndio pakuanzia komaa nae hiyo nyumba iuzwe kila mtu achukue chake.
 
Nyaraka zinazoweza kuonesha umiliki wa pamoja ni mkataba wa asili au hati....kama jina lako lipo kwenye nyaraka mojawapo kamtoe huyo dada maana ni mvamizi kwenye eneo lenu na wewe haujashirikishwa uwepo wake pale.
Anzia polisi au serikali ya mtaa kilipo kiwanja mumtoe....usiwe mnyonge.
asante sana
 
Naongea kwa niaba ya aliekujabkuniomba ushauri!


Nilikua kwenye mahusiano na kaka mmoja tangu 2014, mwaka 2016 tukaanza kuishi pamoja bila kufunga ndoa lakini ukweni tulitambulishana, wakati huo mimi nilikua nina kazi yeye bado hajapata mishe ya maana, tumekaa hvo hvo mpaka nikajifungua mtoto wa kwanza,

mwaka 2020 nae akapata kazi, basi tukachanga hela mimi nikatoa milion moja yeye akatoa laki tisa tukanunua kiwanja!


sasa baada ya kupita mda nikawa namwambia twende kuangalia kiwanja chetu maana kiko mbali kidogo na tunapoishi akawa anakataa nisiende,

siku moja nikaamua kwenda mwenyewe nikakuta kwenye kile kiwanja tayari kuna nyumba inajengwa imefika kwenye Renta, nikarudi nyumbani nikamuuliza kwann anajenga nyumba mpaka inafika hatua hiyo bila kuniambia akaanza kusema alitaka tu anisapraizi na nimemuharibia kwendako,

basi ni nikaa kimya sasa imepita miezi nikamuuliza vp nyumba imefikia wapi nataka niendeko akasema hapana usiende bado iko pale pale kwenyw renta,

but mimi juzi nikaamua kwenda na mwanangu kufika kule site nikashangaa nyumba imeshakamilika kila kitu mpaka Rangi

cha kushangaza mule ndani ya nyumba kuna dada anaishi mule,

dah nilipigwa butwaa nikamuuliza yule dada mwenye nyumba wako mna mahusiano gani, akasema ye huyo ni mtu wake na wanamahusiano tangu zamani[emoji26]

niliumia sana ikabidi nikamuulize kuna mama mmoja jirani ambae ndie alituuzia kiwanja yule mama akaniambia eti mume wangu alimleta huyo dada hapo akasema eti ni mdogo wangu mimi

sasa nikarudi nyumbani jion nikamuuliza baba mtoto kua nimeenda site nimekuta nyumba imeisha na mtu anaishi humo je huyo mtu ni nani?

akasema kwamba ni mpangaji, nikamuuliza hivi inawezekanaje nyumba yako upangishe halafu sisi tupange pia , wakati nyumba ipo karibu basi hapo akaanza kunitusi kanitukana sana kwakweli

nina uchungu sana mpaka sasa roho inaniuma, since 2016 niko nae hana kazi na mtoto tumezaa, kiwanja tumechanga tena mimi nilitoa milioni yeye laki tisa, leo hii ananigeuka hivi?


naombeni ushauri jamani nianzie wapi?

nyaraka za kiwanja zinaonyesha jina langu na lake
Mkuu
Nina ushauri
Kama hautajali karibu inbox
 
Pole sana Dada yaani amekufanyia dharau ya kiwango kikubwa. Halafu huyo jamaa hakupendi tena sio kawaida hakupendi toka moyoni.
Kama hati ina jina lako na lake hapo ndio pakuanzia komaa nae hiyo nyumba iuzwe kila mtu achukue chake.
sawa pia tayar tuna mtoto vipi kuhusu yeye haki yake?
 
Naongea kwa niaba ya aliekujabkuniomba ushauri!


Nilikua kwenye mahusiano na kaka mmoja tangu 2014, mwaka 2016 tukaanza kuishi pamoja bila kufunga ndoa lakini ukweni tulitambulishana, wakati huo mimi nilikua nina kazi yeye bado hajapata mishe ya maana, tumekaa hvo hvo mpaka nikajifungua mtoto wa kwanza,

mwaka 2020 nae akapata kazi, basi tukachanga hela mimi nikatoa milion moja yeye akatoa laki tisa tukanunua kiwanja!


sasa baada ya kupita mda nikawa namwambia twende kuangalia kiwanja chetu maana kiko mbali kidogo na tunapoishi akawa anakataa nisiende,

siku moja nikaamua kwenda mwenyewe nikakuta kwenye kile kiwanja tayari kuna nyumba inajengwa imefika kwenye Renta, nikarudi nyumbani nikamuuliza kwann anajenga nyumba mpaka inafika hatua hiyo bila kuniambia akaanza kusema alitaka tu anisapraizi na nimemuharibia kwendako,

basi ni nikaa kimya sasa imepita miezi nikamuuliza vp nyumba imefikia wapi nataka niendeko akasema hapana usiende bado iko pale pale kwenyw renta,

but mimi juzi nikaamua kwenda na mwanangu kufika kule site nikashangaa nyumba imeshakamilika kila kitu mpaka Rangi

cha kushangaza mule ndani ya nyumba kuna dada anaishi mule,

dah nilipigwa butwaa nikamuuliza yule dada mwenye nyumba wako mna mahusiano gani, akasema ye huyo ni mtu wake na wanamahusiano tangu zamani[emoji26]

niliumia sana ikabidi nikamuulize kuna mama mmoja jirani ambae ndie alituuzia kiwanja yule mama akaniambia eti mume wangu alimleta huyo dada hapo akasema eti ni mdogo wangu mimi

sasa nikarudi nyumbani jion nikamuuliza baba mtoto kua nimeenda site nimekuta nyumba imeisha na mtu anaishi humo je huyo mtu ni nani?

akasema kwamba ni mpangaji, nikamuuliza hivi inawezekanaje nyumba yako upangishe halafu sisi tupange pia , wakati nyumba ipo karibu basi hapo akaanza kunitusi kanitukana sana kwakweli

nina uchungu sana mpaka sasa roho inaniuma, since 2016 niko nae hana kazi na mtoto tumezaa, kiwanja tumechanga tena mimi nilitoa milioni yeye laki tisa, leo hii ananigeuka hivi?


naombeni ushauri jamani nianzie wapi?

nyaraka za kiwanja zinaonyesha jina langu na lake
Daah pole sana
 
Never Love a man akiwa hana kitu,

Kama mshahara wako laki mbili hakikisha ur man mshahara laki tatu au nne mbali na hapo ni worse
 
Naongea kwa niaba ya aliekujabkuniomba ushauri!


Nilikua kwenye mahusiano na kaka mmoja tangu 2014, mwaka 2016 tukaanza kuishi pamoja bila kufunga ndoa lakini ukweni tulitambulishana, wakati huo mimi nilikua nina kazi yeye bado hajapata mishe ya maana, tumekaa hvo hvo mpaka nikajifungua mtoto wa kwanza,

mwaka 2020 nae akapata kazi, basi tukachanga hela mimi nikatoa milion moja yeye akatoa laki tisa tukanunua kiwanja!


sasa baada ya kupita mda nikawa namwambia twende kuangalia kiwanja chetu maana kiko mbali kidogo na tunapoishi akawa anakataa nisiende,

siku moja nikaamua kwenda mwenyewe nikakuta kwenye kile kiwanja tayari kuna nyumba inajengwa imefika kwenye Renta, nikarudi nyumbani nikamuuliza kwann anajenga nyumba mpaka inafika hatua hiyo bila kuniambia akaanza kusema alitaka tu anisapraizi na nimemuharibia kwendako,

basi ni nikaa kimya sasa imepita miezi nikamuuliza vp nyumba imefikia wapi nataka niendeko akasema hapana usiende bado iko pale pale kwenyw renta,

but mimi juzi nikaamua kwenda na mwanangu kufika kule site nikashangaa nyumba imeshakamilika kila kitu mpaka Rangi

cha kushangaza mule ndani ya nyumba kuna dada anaishi mule,

dah nilipigwa butwaa nikamuuliza yule dada mwenye nyumba wako mna mahusiano gani, akasema ye huyo ni mtu wake na wanamahusiano tangu zamani😥

niliumia sana ikabidi nikamuulize kuna mama mmoja jirani ambae ndie alituuzia kiwanja yule mama akaniambia eti mume wangu alimleta huyo dada hapo akasema eti ni mdogo wangu mimi

sasa nikarudi nyumbani jion nikamuuliza baba mtoto kua nimeenda site nimekuta nyumba imeisha na mtu anaishi humo je huyo mtu ni nani?

akasema kwamba ni mpangaji, nikamuuliza hivi inawezekanaje nyumba yako upangishe halafu sisi tupange pia , wakati nyumba ipo karibu basi hapo akaanza kunitusi kanitukana sana kwakweli

nina uchungu sana mpaka sasa roho inaniuma, since 2016 niko nae hana kazi na mtoto tumezaa, kiwanja tumechanga tena mimi nilitoa milioni yeye laki tisa, leo hii ananigeuka hivi?


naombeni ushauri jamani nianzie wapi?

nyaraka za kiwanja zinaonyesha jina langu na lake
Duh! Balaaa hili. Kwa kweli warembo wa jf sasa nawaelewa wanapotaka wanaume ambao wana hela na kazi maana wanaume ukiwavumilia wakiwa hawana kitu sio kwamba anakupenda ni kwamba hana hela tuu ya kupata pisi kali. Akishaoata hela lazima akuletee mauza uza.
 
Siku nyingine kabla ya kua na mazoea ya aina yoyote na ntu hakikisha hana chembechembe za uongo ndani yake. Okopa sana mahusiano na mtu mwenye ndimi mbili
Nenda ustawi/serikalini Natumaini huko utapewa muongozo wa utatuzi
hamna cha serikalini wala nini ndo imeisha hio😅😅😅
 
Hapo ipo hivi huyo mwanaume ametafuta tu chanzo cha kuachana coz haiingii akilini aweze kujenga nyumba let's say ya 25mil kwenye kiwanja cha familia yenu,,, wakati kwenye hiyo ela ya kujengea angetoa mil 3 tu anunue kiwanja ambacho hakina maneno maneno alafu hizo 22 ajengee hata asipo piga plasta njee sawa tu,,,hapo mama jiongeze kila mtu achukue chake mgiwane usepe zako hakuna ndoa tena hapo since alikuficha toka kwenye ujenzi
 
Nasema na ntarudia kusema. Tungekua na mahusiano au ndoa zenye furaha kama kila mmoja angeamua kusema kweli juu ya mwenzake. Wengi tunajaribu kua waongo na waficha mambo matokeo yake ni huzuni na vilio vya muda.

Tujitahidi kua na uwazi ili mtu ajue kabisa yuko na nani na kwa nini yuko na iyo vibe
 
Nasema na ntarudia kusema. Tungekua na mahusiano au ndoa zenye furaha kama kila mmoja angeamua kusema kweli juu ya mwenzake. Wengi tunajaribu kua waongo na waficha mambo matokeo yake ni huzuni na vilio vya muda.

Tujitahidi kua na uwazi ili mtu ajue kabisa yuko na nani na kwa nini yuko na iyo vibe
Hakika
 
Pole mdada..fuata sheria na kama kwenye hati kuna jina lako..anzia hapo Sasa..kila la kheri
 
M/Mungu atalismamia siku hizi ndugu yangu maisha ni kujipanga kisaikolojia yaani tegemea lolote litatokea kwa ulie nae si mwanamke Wala so mwanaume wote tunahenyeshana kaza moyo jipange....na Mimi nakuuliza sijui itakuaje uko mbele maana kwa Sasa hakuna utu Wala ihsani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom