implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 806
- 926
Habarini wanajukwaa hili,
Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa.
Nilimpeleka hospitali lakini nilimshangaa Daktari anaonekana kutotambua ugonjwa huu.
Baada yakumwelezea,bpia mtoto anasumbuliwa na mafua na kikohozi, hakunipa dawa ya bawasiri (ndo maana nimeona uenda haujui ugonjwa huu).
Alinandikia tu syrup za kikohozi na mafua,bnakushauri nimpe maji mengi yakunywabpamoja na juisi na vyakula laini laini baasi.
Naomba mwenye kujua anisaidie hili tatizo.
Asanteni.
Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa.
Nilimpeleka hospitali lakini nilimshangaa Daktari anaonekana kutotambua ugonjwa huu.
Baada yakumwelezea,bpia mtoto anasumbuliwa na mafua na kikohozi, hakunipa dawa ya bawasiri (ndo maana nimeona uenda haujui ugonjwa huu).
Alinandikia tu syrup za kikohozi na mafua,bnakushauri nimpe maji mengi yakunywabpamoja na juisi na vyakula laini laini baasi.
Naomba mwenye kujua anisaidie hili tatizo.
Asanteni.