Naombeni msaada wa kitiba, mwanangu anatatizo la mgolo (bawasiri)

Naombeni msaada wa kitiba, mwanangu anatatizo la mgolo (bawasiri)

Mkuu
Kwa kiasi fulani nimekata tamaa kwenda hospitali nyingine, maana nimeona hospitali unawaambia dalili na ugonjwa.

Lakini wao hawana dawa hasa ya kutibu wanakwambia tu mpe maji mengi chakula laini, matunda, mara mtoto asikae sana sehemu moja (wakati mtoto mara nyingi hawezi kaa sehemu moja kiiivyo!!,nijuavyo si watu wazima ndo ukaa sehemu moja kwa mda mrefu, labda tokana na kazi tufanyazo).

Nionavyo mkuu huu ugonjwa unatibiwa na dawa asili zaidi na mjibu wa maoni ya wengi, ngoja nijaribu uko zaidi, ahsanteni
Mkuu tumia huo mgagani ni dawa nzuri sana kwa hili tatizo.

Mume wangu alikuwa nao huo ugonjwa alikuwa anasaga majani ya mgagani kwa blenda anakunywa ya kuwa mabichi naengine anaweka huko chini.

Pia mpe matunda kwa wingi na vyakula vya nyuzinyuzi, achana na sembe tumia Dona
Maji ya kunywa kwa wingi
 
Habarini wanajukwaa hili,

Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa.

Nilimpeleka hospitali lakini nilimshangaa Daktari anaonekana kutotambua ugonjwa huu.

Baada yakumwelezea,bpia mtoto anasumbuliwa na mafua na kikohozi, hakunipa dawa ya bawasiri (ndo maana nimeona uenda haujui ugonjwa huu).

Alinandikia tu syrup za kikohozi na mafua,bnakushauri nimpe maji mengi yakunywabpamoja na juisi na vyakula laini laini baasi.

Naomba mwenye kujua anisaidie hili tatizo.

Asanteni.
Bawasir ni utumbo kutokeza kwenye njia ya haja kubwa mpeleke afanyiwe upsuaji kuziba sehemu hiyo
 
Mkuu

Mkuu tumia huo mgagani ni dawa nzuri sana kwa hili tatizo.

Mume wangu alikuwa nao huo ugonjwa alikuwa anasaga majani ya mgagani kwa blenda anakunywa ya kuwa mabichi naengine anaweka huko chini.

Pia mpe matunda kwa wingi na vyakula vya nyuzinyuzi, achana na sembe tumia Dona
Maji ya kunywa kwa wingi
Asante dada na ubarikiwe sana.
 
Daktari hakushangaa ugonjwa huo bali alishangaa ugonjwa huo kua nao mtoto wa mwaka mmoja na nusu, ndio wanapata lakini kwa nadra sana na kwa umri wake haruhusiwi matibabu yoyote zaidi ya kumbadilishia chakula chake, mpe maji kwa wingi, matunda na vyakula vya nyuzi nyuzi, choo chake ni kigumu ndio maana anapatwa na hayo, asikae kwenye sehemu ngumu kwa muda mrefu, wakati hayo yote ukifanya mgagani usiuache ni dawa inayosifika kwa tiba hiyo,

Apone haraka mtoto mzuri.
 
Daktari hakushangaa ugonjwa huo bali alishangaa ugonjwa huo kua nao mtoto wa mwaka mmoja na nusu, ndio wanapata lakini kwa nadra sana na kwa umri wake haruhusiwi matibabu yoyote zaidi ya kumbadilishia chakula chake, mpe maji kwa wingi, matunda na vyakula vya nyuzi nyuzi, choo chake ni kigumu ndio maana anapatwa na hayo, asikae kwenye sehemu ngumu kwa muda mrefu, wakati hayo yote ukifanya mgagani usiuache ni dawa inayosifika kwa tiba hiyo,

Apone haraka mtoto mzuri.
Asante mkuu na mungu akubariki katika shughuli zako na yote ufanyayo.
 
Habarini wanajukwaa hili,

Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa.

Nilimpeleka hospitali lakini nilimshangaa Daktari anaonekana kutotambua ugonjwa huu.

Baada yakumwelezea,bpia mtoto anasumbuliwa na mafua na kikohozi, hakunipa dawa ya bawasiri (ndo maana nimeona uenda haujui ugonjwa huu).

Alinandikia tu syrup za kikohozi na mafua,bnakushauri nimpe maji mengi yakunywabpamoja na juisi na vyakula laini laini baasi.

Naomba mwenye kujua anisaidie hili tatizo.

Asanteni.
IMG_20241109_075547_930.jpg
IMG_20241109_075451_927.jpg
IMG_20241109_075455_053.jpg
IMG_20241109_075419_882.jpg
IMG_20241109_075417_687.jpg
 
Kwa kiasi fulani nimekata tamaa kwenda hospitali nyingine, maana nimeona hospitali unawaambia dalili na ugonjwa.

Lakini wao hawana dawa hasa ya kutibu wanakwambia tu mpe maji mengi chakula laini, matunda, mara mtoto asikae sana sehemu moja (wakati mtoto mara nyingi hawezi kaa sehemu moja kiiivyo!!,nijuavyo si watu wazima ndo ukaa sehemu moja kwa mda mrefu, labda tokana na kazi tufanyazo).

Nionavyo mkuu huu ugonjwa unatibiwa na dawa asili zaidi na mjibu wa maoni ya wengi, ngoja nijaribu uko zaidi, ahsanteni
Tatiz dogo ilo nitafute nimtibie adi anapona kabisa je linq muda gani
 
Habarini wanajukwaa hili,

Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa.

Nilimpeleka hospitali lakini nilimshangaa Daktari anaonekana kutotambua ugonjwa huu.

Baada yakumwelezea,bpia mtoto anasumbuliwa na mafua na kikohozi, hakunipa dawa ya bawasiri (ndo maana nimeona uenda haujui ugonjwa huu).

Alinandikia tu syrup za kikohozi na mafua,bnakushauri nimpe maji mengi yakunywabpamoja na juisi na vyakula laini laini baasi.

Naomba mwenye kujua anisaidie hili tatizo.

Asanteni.
Hapo Doctor hana cha kukusaidia zaidi alivyokushauri zingatia listed ya mtoto hasa matunda na vyakula vya majimaji coz angesema afanyiwe mchakato wa uparation dogo kama mwanaume anaweza kuwa msenge baadae
 
Pole Sana,, nenda kahama Kuna mtu aanatibu huo ugonjwa vizuri kabisa.
Fika mpka kahama hospitali ya rufaa nje ya geti pembeni utaona bango limeandikwa docta kaliyaya au kaliwabo jina nachanganya atamuangalia mtoto na dawa atampa ya kunywa na kupakua kuingiza hump ndani. Huyo mtoto anaumia kuwa siriazi katika matibabu yake!
 
Nunua Castor oil (mafuta ya nyonyo)anakunywa kijiko kimoja kidogo x2, pamoja na Olive oil ambayo anapaka huko nyuma kwake x2 , au hata hiyo Castor oil anaweza kunywa na kupaka , nyama zitasinyaa na kurudu.
 
Habarini wanajukwaa hili,

Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa.

Nilimpeleka hospitali lakini nilimshangaa Daktari anaonekana kutotambua ugonjwa huu.

Baada yakumwelezea,bpia mtoto anasumbuliwa na mafua na kikohozi, hakunipa dawa ya bawasiri (ndo maana nimeona uenda haujui ugonjwa huu).

Alinandikia tu syrup za kikohozi na mafua,bnakushauri nimpe maji mengi yakunywabpamoja na juisi na vyakula laini laini baasi.

Naomba mwenye kujua anisaidie hili tatizo.

Asanteni.
Kuna dawa ya kupulizia ipo kama perfume inasaidia sana itafute
 
Ana
Habarini wanajukwaa hili,

Kama mada inavyojieleza ni kwamba mwanangu wa kiume umri mwaka 1 na nusu kwa mwezi sasa anasumbuliwa na mgolo kutoka nje, kila anapojisaidia haja kubwa.

Nilimpeleka hospitali lakini nilimshangaa Daktari anaonekana kutotambua ugonjwa huu.

Baada yakumwelezea,bpia mtoto anasumbuliwa na mafua na kikohozi, hakunipa dawa ya bawasiri (ndo maana nimeona uenda haujui ugonjwa huu).

Alinandikia tu syrup za kikohozi na mafua,bnakushauri nimpe maji mengi yakunywabpamoja na juisi na vyakula laini laini baasi.

Naomba mwenye kujua anisaidie hili tatizo.

Kuja kwa inbox nikuelekeze aende afanyiwe vipimo ili apatiwe dawa na ipo siku utakuja kwa testmony
 
Back
Top Bottom