Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

Habari ya asubuhi wakuu?.
Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

Naombeni na mainjinia mnipe ushauri wa ukubwa wa chumba interns of ft/m au idadi ya blocks

Ukuta wa kijani hapo kwenye choo itakuwa na tofali za nchi 6. Wataalamu Leteni maneno kama itafaa nyumba yote ukuta huo tu ndo uwe na tofali kubwa kiasi hiko

Msingi unatrgemewa kuwa wa tofali za nchi sita. Ni vizur pia nikapata kufaham bei ya tofali hizi mpaka kufika site.

Plan ya ujenzi ni ya miaka 6 lakin msingi utaanzwa mwaka huu.
Cc. Lamomy

Kalaga baho!
Nje ya mada kidogo..
Hii ni Application?
VIpi inafanya kazi sawa na AutoCAD au ArchCAD..
kama ndyo au inakaribiana hebu nitajie jinale
 
HIO NYUMBA HAIMALIZI TOFALI 2000 WASTANI WA BEI 1200=2400,000/= FUNDI MPE LAKI 7,NONDO HAZIZIDI 25 MM 12@25K= CEMENT MIFUKO 20 INAMALIZA KILA KITU, DIRISHA 5*5 ALMINIUM ANDAA 100K MILANGO YA MBAO NA FREM ANDAA 400K/@ SINK CHOO NA KUNAWA ANDAA 80K PLUMBERING ANDAA 500K TAILS CHOONI NA NYUMBA YOTE ANDAA 1M... PAA ANDAA BATI 20@25K FUNDI 500K KWA HIO M6 UNATISHA SANA.. KIAINA... GHARAMA ITA[PANDA KUTOKANA NA MATERIAL UTAKAZOTUMIA...
 
HIO NYUMBA HAIMALIZI TOFALI 2000 WASTANI WA BEI 1200=2400,000/= FUNDI MPE LAKI 7,NONDO HAZIZIDI 25 MM 12@25K= CEMENT MIFUKO 20 INAMALIZA KILA KITU, DIRISHA 5*5 ALMINIUM ANDAA 100K MILANGO YA MBAO NA FREM ANDAA 400K/@ SINK CHOO NA KUNAWA ANDAA 80K PLUMBERING ANDAA 500K TAILS CHOONI NA NYUMBA YOTE ANDAA 1M... PAA ANDAA BATI 20@25K FUNDI 500K KWA HIO M6 UNATISHA SANA.. KIAINA... GHARAMA ITA[PANDA KUTOKANA NA MATERIAL UTAKAZOTUMIA...
Yessss..... Shukrn mkuu
 
HIO NYUMBA HAIMALIZI TOFALI 2000 WASTANI WA BEI 1200=2400,000/= FUNDI MPE LAKI 7,NONDO HAZIZIDI 25 MM 12@25K= CEMENT MIFUKO 20 INAMALIZA KILA KITU, DIRISHA 5*5 ALMINIUM ANDAA 100K MILANGO YA MBAO NA FREM ANDAA 400K/@ SINK CHOO NA KUNAWA ANDAA 80K PLUMBERING ANDAA 500K TAILS CHOONI NA NYUMBA YOTE ANDAA 1M... PAA ANDAA BATI 20@25K FUNDI 500K KWA HIO M6 UNATISHA SANA.. KIAINA... GHARAMA ITA[PANDA KUTOKANA NA MATERIAL UTAKAZOTUMIA...
Nondo za bim hapo niandae ngap mkuu
 
Kwenye ujenzi huwa tunatishana sana.
Lakin mm nataka kutumia principle ya ujenzi ile ya kiswahili. Unanunua vitu kidogo kidogo unafanya jambo. Unajikusanya tena! Hapo sitayaona maumiv makali ya kuzika pesa nyingi kwa wakati mmoja
 
-Usiwe na uoga, kizuri kiwanja tayari kipo, Cha msingi mpatie Ramani ya Floor na Paa zikiwa na vipimo.
-Hapo kutakuwa na gharama za matilio,gharama za Vifaa na gharama za Ufundi.
-Lazima ujue kuwa hata kwa Dar,gharama za Ujenzi hutofautiana kulingana na maeneo

-Kuhusu Finishing,usitishike kwani kuna finishings za aina nyingi sana, za bei chee na bei ghali.

 Kumbuka
Tumia matilio zenye ubora
-mf.tofali ngumu, kokoto nyeusi,bati imara.

Tumia kiwango stahiki cha matilio.
-mf. Kwenye beam za juu na chini, Nondo husukwa 4 na si chini ya hapo.

Kama kuna tatizo lolote kwenye kiwanja andaa mpango wa kuepusha kuathiri nyumba.
-Eneo linatuwamisha maji, Mchanga udongo wasombwa na maji au eneo Lina chumvi.
 
-Usiwe na uoga, kizuri kiwanja tayari kipo, Cha msingi mpatie Ramani ya Floor na Paa zikiwa na vipimo.
-Hapo kutakuwa na gharama za matilio,gharama za Vifaa na gharama za Ufundi.
-Lazima ujue kuwa hata kwa Dar,gharama za Ujenzi hutofautiana kulingana na maeneo

-Kuhusu Finishing,usitishike kwani kuna finishings za aina nyingi sana, za bei chee na bei ghali.

 Kumbuka
Tumia matilio zenye ubora
-mf.tofali ngumu, kokoto nyeusi,bati imara.

Tumia kiwango stahiki cha matilio.
-mf. Kwenye beam za juu na chini, Nondo husukwa 4 na si chini ya hapo.

Kama kuna tatizo lolote kwenye kiwanja andaa mpango wa kuepusha kuathiri nyumba.
-Eneo linatuwamisha maji, Mchanga udongo wasombwa na maji au eneo Lina chumvi.
Nitajuaje kama eneo Lina chumvi mkuu?. Na hili suala la ukuta kulika chini naona ni common kwa sasa. Hakuna sababu nyingine kitaalamu zaid ya chumvi?. Mm nahis kuongezek kwa joto kunachagiza Hilo.. may be indirect kwamba sun rays inaongeza evaporation kwenye mchanga na chumvi inaongezeka ardhin
 
Nitajuaje kama eneo Lina chumvi mkuu?. Na hili suala la ukuta kulika chini naona ni common kwa sasa. Hakuna sababu nyingine kitaalamu zaid ya chumvi?. Mm nahis kuongezek kwa joto kunachagiza Hilo.. may be indirect kwamba sun rays inaongeza evaporation kwenye mchanga na chumvi inaongezeka ardhin
Dar Ipo chini ya altitude ya mita 50,kwahiyo maeneo mengi ni mabonde ya mito ,na maeneo mengine yalikuwa mikondo ya bahari...
Hayo maeneo huwa yana chumvi nyingi kwenye ardhi.

Ukitaka kujua chumvi ,wewe angalia
-ainanya mimea ya asili (kama ni pori)
-angalia kuta za majirani zako
-angalia rangi ya udongo, udongo mweusi huwa ni balaa
-Visima vya mtaani kwenu ni vifupi,maji ni ya Chumvi au kadhaa ya magadi.

 
Dar Ipo chini ya altitude ya mita 50,kwahiyo maeneo mengi ni mabonde ya mito ,na maeneo mengine yalikuwa mikondo ya bahari...
Hayo maeneo huwa yana chumvi nyingi kwenye ardhi.

Ukitaka kujua chumvi ,wewe angalia
-ainanya mimea ya asili (kama ni pori)
-angalia kuta za majirani zako
-angalia rangi ya udongo, udongo mweusi huwa ni balaa
-Visima vya mtaani kwenu ni vifupi,maji ni ya Chumvi au kadhaa ya magadi.

Duh. Kwa hali hii kule nimeyakanyaga. Na suluhu lake ni lipi mkuu
 
Eneo lako lina sifa zipi kati hizo nilizotaja.
Udongo mweusi na yale mazingira yana mirija ya chemichemi ambayo inatokea kama kabonde kaliko chini kidogo hiv kila baad ya mita kama 1300 hiv. Ni sehem flan hiv nahis itakuwa na uwezo wa kutunza maji chini. Yani futi kama 10 chini unawez kuanza mfinyaji japo harujapokea Mrejesho kwa yoyote mana hakuna aliyeranza ujenz
 
Back
Top Bottom