Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

Naombeni msaada wa makadirio ya nyumba hii hasa msingi. Eneo ni tambarare

Udongo mweusi na yale mazingira yana mirija ya chemichemi ambayo inatokea kama kabonde kaliko chini kidogo hiv kila baad ya mita kama 1300 hiv. Ni sehem flan hiv nahis itakuwa na uwezo wa kutunza maji chini. Yani futi kama 10 chini unawez kuanza mfinyaji japo harujapokea Mrejesho kwa yoyote mana hakuna aliyeranza ujenz
Katika ujenzi udongo mweusi sio mzuri kwa sababu unasupport sana ukuaji wa mimea kutokana na uwepo wa virutubisho vya mimea (plant nutrients) kwa wingi. Baada ya kuchimba msingi, inatakiwa umwage mchanga mwingi sana kabla hujaanza kulaza tofali za msingi
 
Huo unaitwa Dark cotton
Huo unakuwa sehem ambazo ni zenye sifa nilizokutajia,,,hapo baada ya futi hizo 10 hauwezi kuta Mfinyanzi abadani....
 
Katika ujenzi udongo mweusi sio mzuri kwa sababu unasupport sana ukuaji wa mimea kutokana na uwepo wa virutubisho vya mimea (plant nutrients) kwa wingi. Baada ya kuchimba msingi, inatakiwa umwage mchanga mwingi sana kabla hujaanza kulaza tofali za msingi
huo udongo mweusi, nao ni mchanga vile vile,
Sifa ya mchanga ni kupitisha maji kwa urahisi.Ina maana maji yatatoka kwenye udongo mweusi kwenda huo mpya
So hapo hakuna unachotatua.

Hiyo njia yako hutumika kupunguza nguvu ya udongo wa mfinyanzi kwenye msingi
 
Udongo mweusi na yale mazingira yana mirija ya chemichemi ambayo inatokea kama kabonde kaliko chini kidogo hiv kila baad ya mita kama 1300 hiv. Ni sehem flan hiv nahis itakuwa na uwezo wa kutunza maji chini. Yani futi kama 10 chini unawez kuanza mfinyaji japo harujapokea Mrejesho kwa yoyote mana hakuna aliyeranza ujenz
Kwanza Kuondoa uwepo wa mzunguko wa Maji kwenye eneo lako, kwa
1.Kumwaga kifusi cha mfinyazi cha kutosha na kushindiliwa (kama una hela)

2.Design mfumo mzuri wa kutoa maji ya mvua katika hilo eneo.
Na
3.Kuhakikisha hapo kwenye eneo ambalo utajenga linakuwa juu.hata kwa mita 0.5

Pili,Ujenzi
Hapo ni kuhakikisha unajenga kwa ubora siyo kubumba.
1.Tumia tofali ngumu za 1000 hadi 1200 za umeme.
2.Mchanga usiwe na Chumvi
3.Zege iliyo na uwiano mzuri wa simenti,kokoto na mchanga.
4.Zege iwekwe vidhibiti maji.
5.Uwepo wa D.P.M
 
Kwanza Kuondoa uwepo wa mzunguko wa Maji kwenye eneo lako, kwa
1.Kumwaga kifusi cha mfinyazi cha kutosha na kushindiliwa (kama una hela)

2.Design mfumo mzuri wa kutoa maji ya mvua katika hilo eneo.
Na
3.Kuhakikisha hapo kwenye eneo ambalo utajenga linakuwa juu.hata kwa mita 0.5

Pili,Ujenzi
Hapo ni kuhakikisha unajenga kwa ubora siyo kubumba.
1.Tumia tofali ngumu za 1000 hadi 1200 za umeme.
2.Mchanga usiwe na Chumvi
3.Zege iliyo na uwiano mzuri wa simenti,kokoto na mchanga.
4.Zege iwekwe vidhibiti maji.
5.Uwepo wa D.P.m
Kwa kawaida tofali za msingi zile zinazofukiwa zinatakiwa zisipungue ngapi? Bei ya tofali kule sijajua ila nitanunua za nchi 6 nimekadiria 1300 kwenye hesabu zangu. Na raman nilito nayo Kuna fundi kaniambia nirafte tofali 400 kwa ajili ya msingi . So nafanya tafit fupi mana nawez kununua eneo lingine mana kule maendeleo yanachelew sana.

Kwa masta Moja ambayo Ina porch niandae tofali ngap za msingi ndugu injinia
 
Kwa kawaida tofali za msingi zile zinazofukiwa zinatakiwa zisipungue ngapi? Bei ya tofali kule sijajua ila nitanunua za nchi 6 nimekadiria 1300 kwenye hesabu zangu. Na raman nilito nayo Kuna fundi kaniambia nirafte tofali 400 kwa ajili ya msingi . So nafanya tafit fupi mana nawez kununua eneo lingine mana kule maendeleo yanachelew sana.

Kwa masta Moja ambayo Ina porch niandae tofali ngap za msingi ndugu injinia
Kimo cha hyo footing, hutegemea na 1.stability ya ardhi ya eneo husika.
2.water table kama ipo karibu....

Kuna maeneo ni kozi 2,Kuna maeneo 3 na 4.
Kama eneo linafanya nyumba zititie, footing inatakiwa iwe pana zaidi.

Kama kwako hapo kozi 3 chini,kozi 3 juu.so msingi wako uwe na kozi sita...Mana huo udongo kuna maeneo Majengo huwa yanatitia.
 
Kimo cha hyo footing, hutegemea na 1.stability ya ardhi ya eneo husika.
2.water table kama ipo karibu....

Kuna maeneo ni kozi 2,Kuna maeneo 3 na 4.
Kama eneo linafanya nyumba zititie, footing inatakiwa iwe pana zaidi.

Kama kwako hapo kozi 3 chini,kozi 3 juu.so msingi wako uwe na kozi sita...Mana huo udongo kuna maeneo Majengo huwa yanatitia.
Anhaa mana niliplan kuweka Tano. Shukran mkuu.. na kwa kw
Awaida mita Moja inakula tofali ngapi za block
 
Nahitaji ramani ya 2 apartments under 1 roof
Kila apartment itakuwa na room 2 self + dinning+ living room+ kitchen+ a public toilet
: Roofing= Bati la kuficha
 
𝙲𝙷𝚄𝙼𝙱𝙰 𝙼𝙰𝚂𝚃𝙴𝚁
𝚃𝚘𝚏𝚊𝚕𝚒 230 = 230,000
𝚂𝚒𝚖𝚎𝚗𝚝 6 = 90,000
𝙽𝚘𝚗𝚍𝚘 2 = 46,000
𝙼𝚌𝚑𝚊𝚗𝚐𝚊 1 = 100,000
𝙺𝚘𝚔𝚘𝚝𝚘 15 = 30,000
𝙼𝚋𝚊𝚘 12 = 24,000
𝚄𝚏𝚞𝚗𝚍 250,000
𝙹𝚞𝚖𝚕𝚊 800,000/=
🥴👇
 
Namba ya fundi. Aliyefanya makadirio y hii masta ni hii 0746053363. Makini sana jamaa
 

Attachments

  • Projeto_3D_-_Kitnet4(1080p).mp4
    10.9 MB
𝙲𝙷𝚄𝙼𝙱𝙰 𝙼𝙰𝚂𝚃𝙴𝚁
𝚃𝚘𝚏𝚊𝚕𝚒 230 = 230,000
𝚂𝚒𝚖𝚎𝚗𝚝 6 = 90,000
𝙽𝚘𝚗𝚍𝚘 2 = 46,000
𝙼𝚌𝚑𝚊𝚗𝚐𝚊 1 = 100,000
𝙺𝚘𝚔𝚘𝚝𝚘 15 = 30,000
𝙼𝚋𝚊𝚘 12 = 24,000
𝚄𝚏𝚞𝚗𝚍 250,000
𝙹𝚞𝚖𝚕𝚊 800,000/=
🥴👇
Gharama hizi ni za msingi pekee (unaoishia bim)
 
Back
Top Bottom