MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Amemaliza form 4 na kapasi vizuri tu ana one, ni Ke. Anataka kwenda diploma kwenye kozi ya sekta ya afya. Anaomba ushauri wa kozi gani nzuri kati ya hizi
- Ordinary Diploma in clinical medicine
- Ordinary Diploma in Pharmaceutical sciences
- Ordinary Diploma in medical laboratory sciences
- Ordinary Diploma in nursing and midwifery
- Ordinary Diploma in Diagnostic Radiography