Naombeni msaada wa mawazo

Naombeni msaada wa mawazo

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,727
Reaction score
6,615
Amemaliza form 4 na kapasi vizuri tu ana one, ni Ke. Anataka kwenda diploma kwenye kozi ya sekta ya afya. Anaomba ushauri wa kozi gani nzuri kati ya hizi
  • Ordinary Diploma in clinical medicine
  • Ordinary Diploma in Pharmaceutical sciences
  • Ordinary Diploma in medical laboratory sciences
  • Ordinary Diploma in nursing and midwifery
  • Ordinary Diploma in Diagnostic Radiography
Msaada wenu tafadhali wajuvi wa mambo
 
Akasome Diploma ya nursing and midwife.

Watu wanazaa kila siku hivyo uhitaji hauishi
 
Back
Top Bottom