MKANDAHARI JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 5,727 Reaction score 6,615 Jul 16, 2024 #1 Amemaliza form 4 na kapasi vizuri tu ana one, ni Ke. Anataka kwenda diploma kwenye kozi ya sekta ya afya. Anaomba ushauri wa kozi gani nzuri kati ya hizi Ordinary Diploma in clinical medicine Ordinary Diploma in Pharmaceutical sciences Ordinary Diploma in medical laboratory sciences Ordinary Diploma in nursing and midwifery Ordinary Diploma in Diagnostic Radiography Msaada wenu tafadhali wajuvi wa mambo
Amemaliza form 4 na kapasi vizuri tu ana one, ni Ke. Anataka kwenda diploma kwenye kozi ya sekta ya afya. Anaomba ushauri wa kozi gani nzuri kati ya hizi Ordinary Diploma in clinical medicine Ordinary Diploma in Pharmaceutical sciences Ordinary Diploma in medical laboratory sciences Ordinary Diploma in nursing and midwifery Ordinary Diploma in Diagnostic Radiography Msaada wenu tafadhali wajuvi wa mambo
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Jul 16, 2024 #2 MKANDAHARI said: Ordinary Diploma in nursing and midwifery Ordinary Diploma in Diagnostic Radiography Click to expand... hizi zina uhitaji sana kwa maisha ya watu. achague moja. Nursing naipenda zaidi
MKANDAHARI said: Ordinary Diploma in nursing and midwifery Ordinary Diploma in Diagnostic Radiography Click to expand... hizi zina uhitaji sana kwa maisha ya watu. achague moja. Nursing naipenda zaidi
M MELEKAHE JF-Expert Member Joined Nov 19, 2023 Posts 1,340 Reaction score 5,588 Jul 16, 2024 #3 Akasome Diploma ya nursing and midwife. Watu wanazaa kila siku hivyo uhitaji hauishi
Mwanamke wa mithali 31 JF-Expert Member Joined Apr 10, 2024 Posts 1,159 Reaction score 2,577 Jul 18, 2024 #4 Akasome diploma ya uuguzi na ukunga