LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
- Thread starter
- #181
Hapa rafiki nakuunga mkono, ingawa huu ukweli unauma sana. lakini mjue hata sisi hatukuumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja (wote si ni binadamu!!!!) lakini tunaamua tu kujiheshimu tukijua kuwa MIILI YETU NI HEKALU LA BWANA!!
Umeona FP, hebu watuambie vizuri kama sisi tunawea tukaamua kutulia na mume mmoja??
Why not them??