Naombeni msaada wapendwa!!!!!

Naombeni msaada wapendwa!!!!!

wakati mwingine nawaangaliaga tu wanavyojisifia kuchukua wanawake wengi, yaani kama sifa vile. huko ni kuudharau mwili wako na kujishushia thamani. hivi unajisikiaje mwili wako ukiwa ni kwa ajili ya mkeo tu! yaani hakuna kinyago chochote huko mtaani kinachoweza kuona mwili wako isipokuwa mkeo? kwanza mimi naona unakuwa confident, unachapa kazi, mawazo yanakuwa kwa mtu mmoja tu, hakuna pressure, yaani raha tupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1

Hiyo red:

Halafu mie huwa nashangaa unakuwa na wanawake wengii kila mtu unamvulia c**** yako na wanaijua hiyo kitu yako ilivyo sijui wanaona sifa?? Unapita barabarani watu kumi wanajua kitu yako ikoje?? Aahh mie sipendi bwana
 
Michelle & FP,

Jioni njema, sijui nianzie wapi leo? kwa Cheupe pale Chang'ombe au kwa Amina pale Magomeni au kwa Tunu mitaa ya Sinza?

Anywayz chat later

ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaa, rafiki, break ya kwanza iwe home...... salimu familia!
ni kweli rafiki, things are getting better, kasheshe ni kwa watu, tunazidi kupotea
 
huwa wanatudanganya kweli wanafikiri hatuelewi kama kuna mwanamke dunia ya leo bado anawaamini pole yake tena ukimuona amekuwa so kind jiulize maswali mengi chini ya kapeti kuna ambalo linaendelea anataka kukupumbuza hapo na kujifanya anajali sana hana lolote mwe hembu tujileleeni tu hawa malaika wetu .


Tena hata utatolewa out eti leo nimepata pesa ya safari nataka nikutoe my wife wangu kumbe anapoza machungu ya huko alikotoka yaani hata kama una mtoto mdogo hata hospitali atakusindikiza na kubeba mtoto juu ha ha ha wanaume mie huwa nawapenda na kuwaangalia tu maana siwawezi na mambo yao
 
hizo chai zao wala usisikilize wanvonyemelea sketi huko barabarani kama ni mumeo waenza usiamini ngoja umkute atakupa story yeye ndo ananganganiwa hawana lolote hao washezi kuliko nyama ya chura kaa uone wanavotongoza toka asubuhi utafikiri hawana wake.
Duh.....this is a very bitter accusation chauro. Dont take life that serious mydia kwa sababu mwenye hulka hata ukinuna sana sana unajitafutia presha ah

We ukimhisi, unauliza akidanganya we cheka na assume amesema ukweli maisha yanasonga. Ukilazimisha umfumanie na wewe ukimfumania its another story but wewe kuumiza kichwa kwake.............Bosi ofcn akuzingue, watoto home wakuchanganye, housegal akuvurunze na bado una room ya mumruhusu Mr akuchakachushe akili yako............utadeka kwa nani sasa??
 
Kaka leo umeamua!!

Dada MwanajamiiOne;

Najaribu kuweka mambo katika mtizamo sahihi lakini naona kidogo tunatofautiana - Nikitizama kwenye nafsi yangu nashindwa kusema uongo na nahisi inanisuta sana!

Kila Mwanamke anajisikia vibaya sana kuona mumewe anatoka na mwanamke mwingine, and vice versa, lakini ukweli ni kuwa wanaume wanatoka, tena siyo na mwanamke mmoja, wanne au hata kumi (kutegemea na nafasi)!

Labda niwakumbushe kitu kimoja, hata mpango wa nje huwa anamwonea wivu mpango wa ndani tena kwa saaana! see!
 
Hiyo red:

Halafu mie huwa nashangaa unakuwa na wanawake wengii kila mtu unamvulia c**** yako na wanaijua hiyo kitu yako ilivyo sijui wanaona sifa?? Unapita barabarani watu kumi wanajua kitu yako ikoje?? Aahh mie sipendi bwana

wao wanadhani ni ufahari, sijui wanajiulizaga hayo maswali?
 
Hiyo red:

Halafu mie huwa nashangaa unakuwa na wanawake wengii kila mtu unamvulia c**** yako na wanaijua hiyo kitu yako ilivyo sijui wanaona sifa?? Unapita barabarani watu kumi wanajua kitu yako ikoje?? Aahh mie sipendi bwana

wengine na vimbilimbi vyao hata hawajioni??? wanaonyesha kila mtu tu......nimewahi sikia kwenye nyumba za kupanga wanamjadili baba mwenye nyumba wanawake wapangaji......niliumia sana,manake mumeo anakuaibisha huko aendako.....na kujiaibisha mwenyewe,mambo yako na mkeo huwezi lakini nje unaenda...haloooooooo!!!!
 
mmmmmhhhhhhhh!!! very painfully at all!!!!!
 
Duh.....this is a very bitter accusation chauro. Dont take life that serious mydia kwa sababu mwenye hulka hata ukinuna sana sana unajitafutia presha ah

We ukimhisi, unauliza akidanganya we cheka na assume amesema ukweli maisha yanasonga. Ukilazimisha umfumanie na wewe ukimfumania its another story but wewe kuumiza kichwa kwake.............Bosi ofcn akuzingue, watoto home wakuchanganye, housegal akuvurunze na bado una room ya mumruhusu Mr akuchakachushe akili yako............utadeka kwa nani sasa??
Baelezee baelewe mama mshauri............!!
 
wengine na vimbilimbi vyao hata hawajioni??? wanaonyesha kila mtu tu......nimewahi sikia kwenye nyumba za kupanga wanamjadili baba mwenye nyumba wanawake wapangaji......niliumia sana,manake mumeo anakuaibisha huko aendako.....na kujiaibisha mwenyewe,mambo yako na mkeo huwezi lakini nje unaenda...haloooooooo!!!!
Duh..................kwa heri.
 
aaaagri dada michele kama kuna mtu anyeumia katika maswala haya ni mwanamke,na mara nyingi wanakuwa wanaambiwa wavumilie tu kwakeli ndo maana wengi wanapata magonjwa ya ajabu ni uvumilivu tu,hamna raha ni kama kuingia kwenye kifungo ambacho upande mmoja tu ndio huwa unafaidi zaidi lakini asilimia kubwa ni mateso.

naelewa sisi ndo tunaumia dada Chauro,ndo maana na avoid hiyo kitu hadi siku Mungu atakaponipa ujasiri,manake haya ninayoyajua hayanipi guts hata za kukaribia hiyo ndoa....we do not deserve this from the men we love jamani....kweli inaniumiza,sijui siku nimejua mume wangu anafanya hivyo nitafanyaje......:decision::decision:
 
Baelezee baelewe mama mshauri............!!
Ah babu.......hapa mpaka naogopa pengine mie maisha yangu ninaishi ya ajabu hisialess??! Lakini hapana

I think wenzangu wanajua kupenda ................
 
hii nimeandika tu MJI huwaga sina huo muda wa kukimbizana na mtu huo muda uko wapi maisha yenyewe yalivo na raha haya ila nataka tu waelewe tunajua wasifikiri sie ni wajinga ivo


Duh.....this is a very bitter accusation chauro. Dont take life that serious mydia kwa sababu mwenye hulka hata ukinuna sana sana unajitafutia presha ah

We ukimhisi, unauliza akidanganya we cheka na assume amesema ukweli maisha yanasonga. Ukilazimisha umfumanie na wewe ukimfumania its another story but wewe kuumiza kichwa kwake.............Bosi ofcn akuzingue, watoto home wakuchanganye, housegal akuvurunze na bado una room ya mumruhusu Mr akuchakachushe akili yako............utadeka kwa nani sasa??
 
Duh.....this is a very bitter accusation chauro. Dont take life that serious mydia kwa sababu mwenye hulka hata ukinuna sana sana unajitafutia presha ah

We ukimhisi, unauliza akidanganya we cheka na assume amesema ukweli maisha yanasonga. Ukilazimisha umfumanie na wewe ukimfumania its another story but wewe kuumiza kichwa kwake.............Bosi ofcn akuzingue, watoto home wakuchanganye, housegal akuvurunze na bado una room ya mumruhusu Mr akuchakachushe akili yako............utadeka kwa nani sasa??

We are converging towards the same point here!

We need to look at the marriage life with different paradigm - Old views are outdated and no longer applicable!
 
Michelle & FP,

Jioni njema, sijui nianzie wapi leo? kwa Cheupe pale Chang'ombe au kwa Amina pale Magomeni au kwa Tunu mitaa ya Sinza?

Anywayz chat later


heeeeee umeitwa nini? mbona faster faster hivi K, umeanzisha kitu halafu unachapa lapa manake nini lakini?

naomba anzia kwa bi mkubwa then elekea sinza....l.o.l

Later's ,stay well and enjoy!
 
Ah babu.......hapa mpaka naogopa pengine mie maisha yangu ninaishi ya ajabu hisialess??! Lakini hapana

I think wenzangu wanajua kupenda ................
Unajua mjukuu kumesa hii kitu ni ngumu sana ndo maana watu wanajifariji...
We huoni pamoja na mambo yote wanayofanya mapadri wengi mpaka leo Papa hajaruhusu mapadre kuoa...
inauma sana aseee ila ukweli lazima usemwe!!
 
wengine na vimbilimbi vyao hata hawajioni??? wanaonyesha kila mtu tu......nimewahi sikia kwenye nyumba za kupanga wanamjadili baba mwenye nyumba wanawake wapangaji......niliumia sana,manake mumeo anakuaibisha huko aendako.....na kujiaibisha mwenyewe,mambo yako na mkeo huwezi lakini nje unaenda...haloooooooo!!!!

Michelle wewe una mambo umenifanya nicheke mpaka basi aahhh tena vingine unakuta vizima kabisa havina kovu
 
bora uko nje story ya kusikia ni tofauti na iliyokupata mwenyewe kama hauko tayari sikushauri but your very luck umejifunza mengi kabla hembu jiulize alieingia akiwa haelewi chochote halafu anakutana na vituko vinaweza vikakufanya jamii ikakuona kituko kama sio kichaa.


naelewa sisi ndo tunaumia dada Chauro,ndo maana na avoid hiyo kitu hadi siku Mungu atakaponipa ujasiri,manake haya ninayoyajua hayanipi guts hata za kukaribia hiyo ndoa....we do not deserve this from the men we love jamani....kweli inaniumiza,sijui siku nimejua mume wangu anafanya hivyo nitafanyaje......:decision::decision:
 
nathubutu kuwahakikishia mwandishi ni huo huo mpango wa nje!,
 
naelewa sisi ndo tunaumia dada Chauro,ndo maana na avoid hiyo kitu hadi siku Mungu atakaponipa ujasiri,manake haya ninayoyajua hayanipi guts hata za kukaribia hiyo ndoa....we do not deserve this from the men we love jamani....kweli inaniumiza,sijui siku nimejua mume wangu anafanya hivyo nitafanyaje......:decision::decision:
Michelle mpenzi hakuna haja ya kuogopa ........si unaufahamu ule mstari usemao watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa?

Mwanamke awaye yote mwenye upendo na nia kwa mumewe hutafuta maarifa (Mtashangaa wanaokwenda kwa waganga) but all in all anajaribu kumlinda mumewe na kuilinda ndoa yake. Sisemi twende kwa waganga la hasa Mganga wetu ni Mmoja naye hashindwi na uchawi. Maarifa ya mwanamke katika kumlinda mumewe na ndoa yake si tu kujifunza namna ya kukata viuno chumbani wala namna ya kumvalia khanga moja na shanga bali pamoja na hayo na mengineyo kama ya usafi sijui upendo kujali n.k tunapaswa pia kuwaweka kwenye maombi kila iitwayo leo..tusichoke na tunaahidiwa kuwa MUNGU atatenda miujiza juu yao na atawabadilisha kupitia maombi yetu.
 
Back
Top Bottom