Egbert saka
Member
- Jun 19, 2024
- 43
- 36
- Thread starter
- #21
Nilisikia kina baadhi ya courseDiploma unataka mikopo,mkuu Acha kuchezea elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisikia kina baadhi ya courseDiploma unataka mikopo,mkuu Acha kuchezea elimu
Skia dogo, utakuja kupata shida ukitaka kusoma degree. Achana na huo mkopo wa diploma.Nilisikia kuna baadhi ya course
Degree watanyima mbeleni? Au unamanisha niniSkia dogo, utakuja kupata shida ukitaka kusoma degree. Achana na huo mkopo wa diploma.
Unajua nn dogo! Mkopo wa diploma unatolewa baada ya ule wa degree so relax bado mudaLast year
ThanksUnajua nn dogo! Mkopo wa diploma unatolewa baada ya ule wa degree so relax bado muda
Halaf ww soma tu hiyo diploma advance ni checheThanks
Halaf ww soma tu hiyo diploma advance ni cheche
SijakuelewaMkopo wa diploma unatolewa baada ya ule wa degree
Kaza ww bado yankiNaelewa ndo maana nataka niibukie college
VP unauelewa kuhusu course ya diagnostic radiographKaza ww bado yanki
Wakishawapa form six leavers wanafungua dirisha kwa watu wa diploma waliomaliza form 4Sijakuelewa
Ninachojua ajira ni uhakika kwa mtu mwenye degree yake!halaf unaquit baada ya miaka 5 kaznVP unauelewa kuhusu course ya diagnostic radiograph
Kisa mini hadi uquitNinachojua ajira ni uhakika kwa mtu mwenye degree yake!halaf unaquit baada ya miaka 5 kazn
Kama yapiWalimu wenu ,huko masculinity kazi yao huishia kufundisha tu! Mengineyo hampewi
Kiafya na kwa utaratibu unafanya miaka 5 tuKisa mini hadi uquit
Baada ya hapo unaenda mtaani au kuna kazi nyingneKiafya na kwa utaratibu unafanya miaka 5 tu
Utapata mkopo omba kama wengine wanavyombaKama yapi
OK sawaUtapata mkopo omba kama wengine wanavyomba
Ndo imeisha hiyoBaada ya hapo unaenda mtaani au kuna kazi nyingne