Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
Kukadiriwa NI hatua ya kwanza bado kulipa , ukikadiriwa unapewa control number ya kulipia kiasi cha Kodi unayotakiwa kulipa ,baada ya hapo unapewa document ipi kuashiria umeshakadiriwa ?
kuna malipo ukiwa huna deni ?