NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 591
kaka sikupiga chemistry 0-levelarchitecture ,bsc quantity survey,geology,minning engineering,bsc land valuation,civil engineering,mechanical engineeering
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka sikupiga chemistry 0-levelarchitecture ,bsc quantity survey,geology,minning engineering,bsc land valuation,civil engineering,mechanical engineeering
......m4cNi ya form 6 na yamekuja hv
history D
GEO D
econ E
Bam s
g.s S
je naweza chaguliwa? Facat zipi?
Mkopo ?
usiogope kamanda utapata tu chuo cha msingi ni ushauri wangu kwako soma kitabu hichi cha tcu guide book 2012/2013 https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/260358-tcu-guide-book-2012-13-a.html utapata tu kozi na kwako wewe kwa mujibu wa vigezo vya tcu hapo chini unaweza kupata maana wewe una point 3 ya d=2 s=0.5 kwa hiyo kwa DSS=2+0.5+0.5=3
USIKATE TAMAA SOMA KITABU CHA MUONGOZO UTAONA KOZI UTAOMBA UTASOMA
ni kweli kamanda ila kuna sceranio nyingine vyuo vinakuconsider kutokana na aina ya kozi unayooomba na nafasi zenyeweTatizo hapo ni kwamba,huyu yeye hana hizo Principals 2(E,D,C,B and A) ana Principal 1 tu! . Japo ana zaidi ya points 2.5,vipi hapo unasemaje Maganga Mkweli?
usiogope kamanda utapata tu chuo cha msingi ni ushauri wangu kwako soma kitabu hichi cha tcu guide book 2012/2013 https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/260358-tcu-guide-book-2012-13-a.html utapata tu kozi na kwako wewe kwa mujibu wa vigezo vya tcu hapo chini unaweza kupata maana wewe una point 3 ya d=2 s=0.5 kwa hiyo kwa dss=2+0.5+0.5=3
usikate tamaa soma kitabu cha muongozo utaona kozi utaomba utasoma
HIST-S GEO-E na KISW-D Msaada jamani III-15
Jamani me pcb
phy-s
chem-s
bio-e jamani msaada
??? Sijakuelewa??......m4c
si tayari ushapata matokeo anza kuapply nenda nbc kanunue ile vocha inauzwa elfu 30000/= na hakikisha unaitunza usitupe mpaka utakapo pata admission..kuapply kunaanza lini? Au hata sasa hv..
Kuapply kunaanza lini? Au hata sasa hv..
Kuapply kunaanza lini? Au hata sasa hv..
sawa, nashukurusi tayari ushapata matokeo anza kuapply nenda nbc kanunue ile vocha inauzwa elfu 30000/= na hakikisha unaitunza usitupe mpaka utakapo pata admission..
vyuo ni vingi ushauri pitia kile kitabu cha tcu guide 2012/2013 kina muongozo wote utaonq chuo ambacho kwa vigezo vyako na kozi unayoomba unaweza chukuliwanataka soma barchelor of arts with education naombeni msaada chuo gani kitanifaaa iii-15
history-s
geography-e
kiswahili-d
g.s-s
we not perfect u knw, hata wewe unayo mapungufu,haya mambo yanatokea. Kabla ya finals tulikuwa smart ila imebaki kuwa historia iliyosahaulika,Hivi madogo wa siku hizi mnakuaje? Yaani kila mtu akija jamvini na maksi za kuunga unga au ndo kizaz cha facebook na twitter, yaani mtu anafeli hadi kiswahili na kingereza, hkl unapata div 3, kweli ukombozi bado ni safari ndefu,
Enzi zetu tena vyuo viwili tu udsm na mzumbe ilikuwa ukiwa kwenye necta kama unacheza na barcelona yaani full kupaki bus no mistakes na results zikitoka ni mabanda tu, yaani tukienda kuomba ushauri wa kozi kwanza tunapewa pongezi then tunaanza kuambiwa programs zilivyo
Nataka soma Barchelor of Arts With Education naombeni msaada chuo gani kitanifaaa III-15
HISTORY-S
GEOGRAPHY-E
KISWAHILI-D
G.S-S