Naombeni msaada

Naombeni msaada

Joined
Feb 11, 2023
Posts
14
Reaction score
15
Jamani nimeshikika, Nadaiwa Kodi ya miezi mi3 na nimepewa Notice ya kuondoka tarehe 15

Tafadhali nisaidieni mchongo wa Kibarua chenye malipo kwa siku.

Nipo tayari kufanya kazi yoyote Ile.

Mungu awatangulie 🙏
Location: NIpo DSM
 
Jamani nimeshikika, Nadaiwa Kodi ya miezi mi3 na nimepewa Notice ya kuondoka tarehe 15

Tafadhali nisaidieni mchongo wa Kibarua chenye malipo kwa siku.

Nipo tayari kufanya kazi yoyote Ile.

Mungu awatangulie 🙏
Location: NIpo DSM
 
Hello wakuu...
naomba shuhuda ambae ashawahi volunteer hospitali ya serikali af akawa reccomended na akaajiliwa[emoji120][emoji120][emoji120]
Ajira zote serikalini zinatolea kimfumo. Ina maana ni hadi pale nafasi zitakapotangazwa ndipo ufanye maombi kupitia mfumo. Hakunaga ile just recommendation afu ndio uwe umepata
 
Ajira zote serikalini zinatolea kimfumo. Ina maana ni hadi pale nafasi zitakapotangazwa ndipo ufanye maombi kupitia mfumo. Hakunaga ile just recommendation afu ndio uwe umepata
yeahp nasema pale kipind wametoa dokezo kuwa afya watatoa nafasi za ajira miurugenzi wa hospitali akikureccommend kuwa ulikuw unavolunteer inaweza sound ukapata pia?
 
Back
Top Bottom