Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #41
So ni kama nafanya kazi ya hasaraAsilimia ni One off au Recurring ? Kama ni recurring angalau sababu mteja mmoja ukipata atakupatia fedha miaka yote (na hapo ni kama wanachouza kina retention kubwa huenda mtu akitumia anakiacha baada ya miezi miwili) au kama ni asilimia mara moja ni kubwa kiasi gani ? Sababu unaweza ukapewa milioni mbili lakini mpaka ukonvince watu umechukua miaka miwili hence hio pesa ukigawa kwa mwezi hata kujikimu unashindwa...; Ila kama ni mzuri katika kuuza labda kuwa na product zaidi ya moja zinazocompliment ukienda kuwapa issue ya software waambie pia na kuwauzia chaki au vifaa vya maabara (ambavyo utakuwa umeingia contract na suppliers ukiuza upate comission)
Nenda kwa MwamposaNdio inashida mtu haikubali anakata simu ukimtajia tu hiyo biashara nawale walioahidi wapo kimya tu hawajibu kama wanataka au hawataki
Chakushangaza baada yakukubali hii kazi hata hedhi ikakata nimeenda kila mahali hospitali ,sijui hapa pale ila naambiwa tu umelogwa yaani hadi sasa naumwa tu hedhi imehama hata daktari haoni cha kunisadiaNenda kwa Mwamposa
Vipi kauli zako kwa wateja ziko vizuri??Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki .
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??
Inategemea na wewe mwenyewe kama unaweza kupata wateja kwa urahisi (na kama commission unayopewa ni sawa na kazi unayofanya) ila kwa ushauri ukiwa unafanya kazi za hawa sababu hakuna basic pay basi fanya na nyingine unakwenda sehemu unakuwa na product hata kumi zinazo-complement...; Kwanini kama unauza majani ya chai uziuze maji na sukari pia (after all vyote vinapika chai) - Na since unachouza ni maneno (hakuna stock basi unaweza ukawa na bidhaa nyingi) mfano brochure ya chaki kwa bei rahisi; laboratory chemicals n.k. - Bila kusahau wabongo wapenda rushwa (kwahio ahadi za 10% kama deal litakubali)So ni kama nafanya kazi ya hasara
Yes,sanaaVipi kauli zako kwa wateja ziko vizuri??
๐Wenye shule
Tuseme hii kazi asilimia inawafaa wenye kazi za ziadaInategemea na wewe mwenyewe kama unaweza kupata wateja kwa urahisi (na kama commission unayopewa ni sawa na kazi unayofanya) ila kwa ushauri ukiwa unafanya kazi za hawa sababu hakuna basic pay basi fanya na nyingine unakwenda sehemu unakuwa na product hata kumi zinazo-complement...; Kwanini kama unauza majani ya chai uziuze maji na sukari pia (after all vyote vinapika chai) - Na since unachouza ni maneno (hakuna stock basi unaweza ukawa na bidhaa nyingi) mfano brochure ya chaki kwa bei rahisi; laboratory chemicals n.k. - Bila kusahau wabongo wapenda rushwa (kwahio ahadi za 10% kama deal litakubali)
Kwani anauza bidhaa Gani?Tuseme hii kazi asilimia inawafaa wenye kazi za ziada
SoftwareKwani anauza bidhaa Gani?
Asante niungishe basi???Hongera kwa kutangaza biashara yako humu
Similiki shule dadaAsante niungishe basi???
Duh pole sana bi dada. Sasa imehamia wapi?hedhi imehama hata daktari haoni cha kunisadia
Huyu MDADA naye jauuu kweli yaan halafu trako lainiii
Basi ni upepo tu unapita, kuwa na tamaa ya mambo kukaa sawa.Yes,sanaa
Hata haujalogwa shostitolito.Chakushangaza baada yakukubali hii kazi hata hedhi ikakata nimeenda kila mahali hospitali ,sijui hapa pale ila naambiwa tu umelogwa yaani hadi sasa naumwa tu hedhi imehama hata daktari haoni cha kunisadia
Sawa mwayaHata haujalogwa shostitolito.
Labda stress.
au menopothi๐ฌ๐๐๐๐.
Sikia shoga angu kipenzi.
Hiyo kitu kuna wenzio tayari wanafanya ila bado ni kitu mpya kidogo hivyo naamini soko bado lipo.
Tembelea mashuleni/vyuoni ukawashawishi live wenye mashule.Kwa simu inakua ngumu kueleweka.
Kama unaamini hiyo kitu ni kitu WANAHITAJI bila wao kujua kama.wanahitaji,kama inawezekana wape hata mwezi mmoja wa bure ili waone vile wamechelewa kujua mambo mazuri.
Mungu akutangulie kipenzi.