Hapa hii software inatoa Siri za shule, sio kila taarifa mzazi anatakiwa kupata. Pia sio kila mapato niyakujulikana na kufatiliwa, maana yake hiyo software inasaidia kuzibiti shule na uendeshaji wake, sasa walimu Wana kazi Gani, hapo ndipo ilipofeli hiyo software. Acha hizi wewe tafuta kazi NyingineHii software nikwa ajili ya mashule nainasaidia kurahishisha uendeshaji wa shule kitaluuma na kimahesabu napia inasaidia kuwapa wazazi taarifa mbalimbali kuhusu mwanae shuleni
Weweee! Na hii ni software? [emoji115][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wamepigwa sana kwenye ishu ya software za shule na biashara. Aidha big names kama shulesoft na shulecom wameteka soko na wana offer bidhaa nzuri kweli.Hii software nikwa ajili ya mashule nainasaidia kurahishisha uendeshaji wa shule kitaluuma na kimahesabu napia inasaidia kuwapa wazazi taarifa mbalimbali kuhusu mwanae shuleni
Wazazo hawapewi siri za shule wanapewa report za mtoto au watoto, kama anadaiwa , ama kama kuna mitihani anaandaliwa mapema kutoa hela ya stationaries, kuhusu waalimu walimu lazima wawepo maana niwao wataweka taarifa za testi za wiki , mitihani ya wiki na ya awamu , mf. Mwezi wa sita , wa tisa na wa kumi na mbili, halafu uzuri wake haichukui muda ni dakika tano kaweka za darsa lake lote , jingine lazima wawepo waalimu maana watatoa recodi za watoto wote na lazima wawepo waalimu maana lazima wawafundishe watoto nadhani unanielewa usiponielewa niambie nikuelewesheHapa hii software inatoa Siri za shule, sio kila taarifa mzazi anatakiwa kupata. Pia sio kila mapato niyakujulikana na kufatiliwa, maana yake hiyo software inasaidia kuzibiti shule na uendeshaji wake, sasa walimu Wana kazi Gani, hapo ndipo ilipofeli hiyo software. Acha hizi wewe tafuta kazi Nyingine
Basi kama ni hivyo, hujafanya marketing vizuri.Wazazo hawapewi siri za shule wanapewa report za mtoto au watoto, kama anadaiwa , ama kama kuna mitihani anaandaliwa mapema kutoa hela ya stationaries, kuhusu waalimu walimu lazima wawepo maana niwao wataweka taarifa za testi za wiki , mitihani ya wiki na ya awamu , mf. Mwezi wa sita , wa tisa na wa kumi na mbili, halafu uzuri wake haichukui muda ni dakika tano kaweka za darsa lake lote , jingine lazima wawepo waalimu maana watatoa recodi za watoto wote na lazima wawepo waalimu maana lazima wawafundishe watoto nadhani unanielewa usiponielewa niambie nikueleweshe
Yao ni inatumia whtsupp ambao sio kila mzazi anayo simu ya touch , yetu ni inatumia SMS so nirahisi kutumia kwa kila mzazi yetu ni tofauti na ni nzuri kuitumia na ni kila kitu automatic so ni kitu kizuri sanaWatu wamepigwa sana kwenye ishu ya software za shule na biashara. Aidha big names kama shulesoft na shulecom wameteka soko na wana offer bidhaa nzuri kweli.
Hitaji kubwa la shule nyingi sio system tu ya mahesabu, lakini namna ya kupata wateja zaidi na pia ku communicate.
Mshauri bosi wako abadilishe model.
1. Wape watu free trial.
2. Fikiria jinsi ya kudifferentiate. Bila ubunifu hutauza software, hasa kwa wabongp wanaopenda vitu manual
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nisingepata wawili ingekuwa empty nanilipata shule 13 na kumi tuliwaonyesha hiyo software ila hawana majibu until nowBasi kama ni hivyo, hujafanya marketing vizuri.
Basi endelea na shule zingine kwanza biashara sio kulazimisha wateja km mteja anaonyesha kutokua na mwamko na bidhaa endelea kuisogeza kwa wateja wengine, si umewaachia Mawasiliano yenu?Nisingepata wawili ingekuwa empty nanilipata shule 13 na kumi tuliwaonyesha hiyo software ila hawana majibu until now
Una demo ya system? User guide? Promo material? Zitupie humu.Yao ni inatumia whtsupp ambao sio kila mzazi anayo simu ya touch , yetu ni inatumia SMS so nirahisi kutumia kwa kila mzazi yetu ni tofauti na ni nzuri kuitumia na ni kila kitu automatic so ni kitu kizuri sana
Sawa asante nitatuma humuUna demo ya system? User guide? Promo material? Zitupie humu.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki .
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??
Ingia youtube jifunze marketing na sells technique ziko kibao... Sii unaenda uza software umevaa kijora (joking)Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki .
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??
Hapama sivaagi kijora na vaa suti inategemea rangi tu napendelea blue and black nawakaga jomba sana tuIngia youtube jifunze marketing na sells technique ziko kibao... Sii unaenda uza software umevaa kijora (joking)
Sawa.. basi fanya kuingia youtube upate ujuzi wa selling... Hapa hutopata majibu zaidi utakata tamaaHapama sivaagi kijora na vaa suti inategemea rangi tu napendelea blue and black nawakaga jomba sana tu
Amtafute Mpwayungu Village huyu anaweza kununuaBasi vizuri... I hope kuna walimu pia humu na wenye shule na wengine wengi utapata tu wateja [emoji4][emoji847]
Ningekua na uhitaji nayo ningepurchase maana ni bei ndogo sanaTuna Silver ambayo ni 60,000 kwa mwezi ambayo unapata huduma zote na kutuma ujumbe kwa wazazi ni mara moja kwa mwezi.
Tuna gold ambayo ni 80,000 kwa mwezi unapata huduma zote ila unatuma mara 2 jumbe kwa wazazi.
Tuna premium hii ni unaweza tumia jumbe utakazo kwa wazazi upendavyo na huduma zote unapata na nish. 120,000 kwa mwezi .
Labuda una kimavi[emoji849][emoji849]Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki .
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??
HahahπππππAmtafute Mpwayungu Village huyu anaweza kununua