Hivi unajua flower una jini ndani yako linakuvurugaChakushangaza baada yakukubali hii kazi hata hedhi ikakata nimeenda kila mahali hospitali ,sijui hapa pale ila naambiwa tu umelogwa yaani hadi sasa naumwa tu hedhi imehama hata daktari haoni cha kunisadia
Pia angalieni upande wa Bei Kwa mwezi. Inaweza ikawa sababu. Maana wateja wazuri ni shule za Private. Shule za Private zinategemea soko la uelewa wa wazazi na kipato Chao, hivyo zilizo nyingi baada ya falsafa ya serikali kutoa elimu Bure nyingi hazina wanafunzi wakutosha. Sasa punguzeni Bei mtapata wengi.Nisingepata wawili ingekuwa empty nanilipata shule 13 na kumi tuliwaonyesha hiyo software ila hawana majibu until now
Oya mwana ushasikiaga mademu wazuri akili zao huwa wanatumia zetu 😅😅😅😅 akili za mademu wazuri hizi.bebi mbona sijaelewa😅
Sawa kwa hapo naomba unipe bei yako toka silver ,gold,premium iwe bei ganiPia angalieni upande wa Bei Kwa mwezi. Inaweza ikawa sababu. Maana wateja wazuri ni shule za Private. Shule za Private zinategemea soko la uelewa wa wazazi na kipato Chao, hivyo zilizo nyingi baada ya falsafa ya serikali kutoa elimu Bure nyingi hazina wanafunzi wakutosha. Sasa punguzeni Bei mtapata wengi.
Nimeona utakufa na njas na hapa naumwa balaa halafu hawajui hata kuwa naumwaje nipo home nashangaa tuDada tafuta kazi nyingine ukitegemea kuuza software ndo uishi utakufa njaaa nimewahi fanya tulikua tunatengeneza wenyewe afu tunauza yaan unapewa 250k tena hupewi kwa wakati moja! Nikaona mtaani nikiishi kwa kuangalia taaluma ulosomea utakufa na njaaa
LabdaHivi unajua flower una jini ndani yako linakuvuruga
NdioOfisi yenu inatambulika?
Andikeni barua ya kiofisi, kwenda kwenye shule mbali mbali kuielezea hiyo software yenu, na msisitize mko na nia ya kufanya nao kaziNdio