Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #21
Acha utani shauri vitu vyenye maana🤣🤣una gundu,ukizingatia mabandiko yako humu 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utani shauri vitu vyenye maana🤣🤣una gundu,ukizingatia mabandiko yako humu 🤣
Ndioo sasa haiendi nitakavyoo sijui shida niniaha nimekupata kwahiyo kuna mtu amekupa umsaidie kuuza unafanya kama udalali flani si ndio
Hebu acha ujinga nisaidie hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089] shemeji nisamehe basi
Lafudhi yako ipoje?.Ni hivi nimepata kazi yakumtangazia mtu kazi yake so nikaanza mwanzo niliuza bidhaa mbili . Ila sasa hivi hata moja siuzi wateja waliokubali kufanya na mimi wanadai bidhaa nzuri ila kukubali na kununua bidhaa hawataki .
Nawengine nikiwaambia kuhusu hiyo bidhaa wanazima simu. Hawataki kunisikiliza hivi shida nini??
kaweke tangazo kwenye jukwaa la biasharaNdioo sasa haiendi nitakavyoo sijui shida nini
Sawa nitajaribukaweke tangazo kwenye jukwaa la biashara
na pia magroup ya telegram au watsapp ya walimu, tafuta upost matangazo humoSawa nitajaribu
Walikuwa wananilipa na wamekataa maana wamesema nawapa.hasara kunilipa comission na mshahara so wamefuta mshahara na wamebakiza asilimia tuMoja unapata commission ukishauza au a one time payment ?
Mbili kama ni recurring payment basi hata ukiuza hizo mbili tu kwa mwaka si ni Job well done ?; Vilevile pesa hio inasaidia vipi hao watu moneywise (unaweza ukasema gharama za uendeshaji ; Je Muhasibu atafukuzwa au aliyekuwa anafanya hayo sasa hivi atafanya nani ? Kwahio shida sio wewe ni product au bei ya hio product... / Au muitikio wa watu kwa product kutokana na mazoea
Tatu; Wabongo ni price sensitive jambo ambalo they can do it cheaply money-wise hata kama ni expensive kwa muda na ufanisi bado wataangalia pesa...
Nne learning curve hata kama unachofanya ni kizuri huenda kitahitaji watendaji kujifunza ambapo watendaje hao wasiwe willing sababu ni jambo jipya na huenda lina-athiri mirija yao ya upigaji hivyo hawatalikubali cha maana badala ya kuongea na mwenye shule pekee ongea na watendaji ili walione kwamba ni la kwao na wa-convince mmiliki (na hapo ni kama ni mali yako utapata pesa kila wanavyolipa na sio one off payment) au kama ni one off payment na ni nzuri sana basi endelea hata kama mwaka kesho wakiacha kulipa na kutupa mfumo wako kapuni wewe utakuwa umeshachukua chako....
Nisaidie basi nipate hayo magroupna pia magroup ya telegram au watsapp ya walimu, tafuta upost matangazo humo
nikipata ntakushtua pmNisaidie basi nipate hayo magroup
Nzuri haikuwa na shida beforeLafudhi yako ipoje?.
Utamuudhi flower wetu..ohi🤣🤣una gundu,ukizingatia mabandiko yako humu 🤣
Nisaide basi connectionUtamuudhi flower wetu..ohi
Tangaza jukwaa la matangazoNisaide basi connection
Asilimia ni One off au Recurring ? Kama ni recurring angalau sababu mteja mmoja ukipata atakupatia fedha miaka yote (na hapo ni kama wanachouza kina retention kubwa huenda mtu akitumia anakiacha baada ya miezi miwili) au kama ni asilimia mara moja ni kubwa kiasi gani ? Sababu unaweza ukapewa milioni mbili lakini mpaka ukonvince watu umechukua miaka miwili hence hio pesa ukigawa kwa mwezi hata kujikimu unashindwa...; Ila kama ni mzuri katika kuuza labda kuwa na product zaidi ya moja zinazocompliment ukienda kuwapa issue ya software waambie pia na kuwauzia chaki au vifaa vya maabara (ambavyo utakuwa umeingia contract na suppliers ukiuza upate comission)Walikuwa wananilipa na wamekataa maana wamesema nawapa.hasara kunilipa comission na mshahara so wamefuta mshahara na wamebakiza asilimia tu
Before haikuwa na shida, vipi sasa hivi?Nzuri haikuwa na shida before
Ndio inashida mtu haikubali anakata simu ukimtajia tu hiyo biashara nawale walioahidi wapo kimya tu hawajibu kama wanataka au hawatakiBefore haikuwa na shida, vipi sasa hivi?