Naombeni Msaada

Naombeni Msaada

Jamani mnashindwa kunielewa kote huko nimechunguza kwa kweli Mr anatabia za kishoga mwanzoni sikuwa namfatilia sana. Kuna siku niliisha mkuta anajaribu sidiria zangu, tight na hata Gstring zangu nikamuuliza vipi mzee akasema anampango wa kuninulia kwa hiyo anajaribu. Sijui kama ni kawaida kwa wanaume wengine kutumia perfume na mafuta ya mwenza wako, kadri siku zinavyozidi kwenda naona tabia nyingi za kike anazo huyu mzee. Hilo la kumuita rafikie mpenzi nadhani ni zaidi ya hapo....siku nikitoka naye tukurudi nyumbani storiz zake ni kusifia wanaume wenzake....
Hii kali anajaribu hadi nguo zako za ndani, hizi ni dalili tosha kuwa shoga. Mpige chini tu huyo, utapata mwanaume mwingine. Wanaume mbona wapo wengi tu na wana maadili mazuri.
 
Hii kali anajaribu hadi nguo zako za ndani, hizi ni dalili tosha kuwa shoga. Mpige chini tu huyo, utapata mwanaume mwingine. Wanaume mbona wapo wengi tu na wana maadili mazuri.

Kwa kweli tupo......sababu za kuolewa na shoga hazipo kabisa!
 
Hii kali anajaribu hadi nguo zako za ndani, hizi ni dalili tosha kuwa shoga. Mpige chini tu huyo, utapata mwanaume mwingine. Wanaume mbona wapo wengi tu na wana maadili mazuri.

Kwa staili hii kama na nguo za ndani ameshaanza kuzijaribu kuna siku mtakunjana ngumi mkigombania uanja wa kujipaka...!

Sasa kumbe jibu unalo kwamba jamaa ni shoga? sasa unasubiri nini? manake usitegemee akabadilika mara baada ya kuoana...! Manake sasa mkishaoana ndio kila mtu sasa ataanza kutoa makucha yake, sasa ni hapo utakapokuletea jidume ndani ukute mumeo anashughulikiwa kwenye kitanda mnacholala...!

Mimi nakushauri kimbia haraka...! Embu jiulize kitu kidogo, je utasema umeolewa na mwanaume au umeolewa na mwanamke mwenzio?
 
Niko kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa kama miaka 3 hivi na tunategemea kufunga Dec kama mambo yatakuwa salama. Siku za hapa karibuni nimehisi Mr wangu anatabia za kishoga. Ana rafiki yake wa muda mrefu huwa kila sehemu wanakuwa naye nimegundua huenda huyo ndiye anayefanya naye mchezo mbaya. Nimeongea naye hataki kuwa mkweli ila nimeisha ona hata meseji akimwita huyo rafikie wa kiume mpenzi. Jamani nifanyaje?

Jamani mnashindwa kunielewa kote huko nimechunguza kwa kweli Mr anatabia za kishoga mwanzoni sikuwa namfatilia sana. Kuna siku niliisha mkuta anajaribu sidiria zangu, tight na hata Gstring zangu nikamuuliza vipi mzee akasema anampango wa kuninulia kwa hiyo anajaribu. Sijui kama ni kawaida kwa wanaume wengine kutumia perfume na mafuta ya mwenza wako, kadri siku zinavyozidi kwenda naona tabia nyingi za kike anazo huyu mzee. Hilo la kumuita rafikie mpenzi nadhani ni zaidi ya hapo....siku nikitoka naye tukurudi nyumbani storiz zake ni kusifia wanaume wenzake....

...noma kweli hii, duuuh!

Anyway, kilichopo hapa ni suala la uaminifu. Kama si muaminifu kimapenzi na umelithibitisha kwa hayo uliyoyasema, achana nae. Iwe ni shoga au kicheche wote sawa tu kwangu, CHEATER!
 
Niko kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa kama miaka 3 hivi na tunategemea kufunga Dec kama mambo yatakuwa salama. Siku za hapa karibuni nimehisi Mr wangu anatabia za kishoga. Ana rafiki yake wa muda mrefu huwa kila sehemu wanakuwa naye nimegundua huenda huyo ndiye anayefanya naye mchezo mbaya. Nimeongea naye hataki kuwa mkweli ila nimeisha ona hata meseji akimwita huyo rafikie wa kiume mpenzi. Jamani nifanyaje?



Pole sana mpenz wangu,
Ndio mambo ya dunia hayo, wanasema hujafa hujaumbika na mshkuru maulana kwa kila jambo.

Kiingereza wanasema you can not fight agaist nature, na ni mara chache saana tabia kubaduruka.
Opra anasena we need to say no to the Altar, if you real need an inner peace to a life time commitments, especialy if you do have dauts kwa mpenzio.

Yametukuta wengi, na wengi wa wetu tumeishia kuingia kwenye regrates.

Nakushauri, mfuatilie vyema huyo mchumba uliyenaye, ingia cost zozote wanasema you fight for what you value and love the most...ukiamua ni swala la siku tu. Fahamu ukweli na si tetesi.

Kama ni kweli, achana naye na jipe ujasiri wa kupima afya.
Hatufahamu kilichompelekea kuwa na tabia hiyo, ila yaweza kuwa ni biological make up, hivyo usimtupie lawama.

U muamuzi wa mwisho kuhusu maisha yako.

Best of luck.
 
Pole sana mpenz wangu,
Ndio mambo ya dunia hayo, wanasema hujafa hujaumbika na mshkuru maulana kwa kila jambo.

Kiingereza wanasema you can not fight agaist nature, na ni mara chache saana tabia kubaduruka.
Opra anasena we need to say no to the Altar, if you real need an inner peace to a life time commitments, especialy if you do have dauts kwa mpenzio.

Yametukuta wengi, na wengi wa wetu tumeishia kuingia kwenye regrates.

Nakushauri, mfuatilie vyema huyo mchumba uliyenaye, ingia cost zozote wanasema you fight for what you value and love the most...ukiamua ni swala la siku tu. Fahamu ukweli na si tetesi.

Kama ni kweli, achana naye na jipe ujasiri wa kupima afya.
Hatufahamu kilichompelekea kuwa na tabia hiyo, ila yaweza kuwa ni biological make up, hivyo usimtupie lawama.

U muamuzi wa mwisho kuhusu maisha yako.

Best of luck.
 
Trust your instincts na achana naye. Atakuletea ukimwi!!!!!!!
 
Dada, hata kama huyo rafiki yako si shoga, huo ni mwanzo mbaya wa maisha yenu ya ndoa baadae mtakapooana. Kuwa na rafiki mwingine hata kama ni wa kike wakati bado ni wachumba, je mkishaoana na kuzoeana, huyo mumeo mtarajiwa si ndo atakuwa kiwembe? Na katika dunia hii ya UKIMWI dada utaishia kulia. Kwa kifupi nakushauri uachane naye si mwaminifu.
 
Tufanyeje ili tuwe waaminifu? Mambo mengine tunafanya kama utani lakini ndiyo tabia inajengeka. Hivi kwa nini kama mtu uliyenaye usimpe shule ya kutosha ili awe kama unavyotaka? Tuzuieje tamaa za mwili.

Najua mtacheka kwa hiki ninachoandika ila mambo ambayo inabidi tuyafanyie kazi ili tuone kama tunaweza rescue mahusiano yetu na nyumba zetu. Watoto wa mitaani wamezidi kuwa wengi sana.

I hope sijaenda nje ya Topic.
 
Mwanamtama achana nae huyo njoo kwangu mi nipo nipo tu natafuta bado.
 
Leviticus Chapter 18 verse 22
22 Thou shalt not lie with mankind, as with womankind: it is abomination.

Kama unataka ushauri,ushauri ni huu. Kama unataka porojo,haitakusaidia kitu chochote.
Sasa mtafute mwanaume ambaye hana tabia za homosexuality,ambayo siku hizi siyo rahisi
 
Leviticus Chapter 18 verse 22
22 Thou shalt not lie with mankind, as with womankind: it is abomination.

Kama unataka ushauri,ushauri ni huu. Kama unataka porojo,haitakusaidia kitu chochote.
Sasa mtafute mwanaume ambaye hana tabia za homosexuality,ambayo siku hizi siyo rahisi

unamwambia atafute mwanaume ambaye hana tabia za kishoga, ambayo siku hizi si rahisi.

sijakuelewa, una maana siku hizi kumpata mwanume ambaye hana tabia za kishoga ni ngumu au, ufafanuzi please.
 
unamwambia atafute mwanaume ambaye hana tabia za kishoga, ambayo siku hizi si rahisi.

sijakuelewa, una maana siku hizi kumpata mwanume ambaye hana tabia za kishoga ni ngumu au, ufafanuzi please.

Hiyo ni kweli ni ngumu kupata wanaume straight Ulaya na Marekani. Kule wanaume wana jinsia tatu: Gay (shoga), Straight-acting (shoga lakini linaigiza kama rijali, haya huwa yanachumbia na hata kuoa kabisa), na Straight (rijali kamili). Sasa kwa kuwa makundi yote matatu yako katika jinsia moja ya kiume ambayo kitakwimu uwiano ya wanaume na wanawake ni karibu 1:1, utaona wazi wale rijali wamepungua sana, haiwezekani tena kila mwanamke kupata rijali wake. Na kitendo cha kuhalalisha ushoga huko na kuwaruhusu kufanya kampeni za waziwazi inasababisha hata wale wavulana wadogo waanze 'udadisi' kutaka kujua hiyo gay ikoje, ndio utaona vivulana vinajitangaza kwenye mtandao kuwa viko 'curious' na ushoga, vinatafuta mtu wa kuvi-'onjesha' kif*ro vikiona iko 'cool' vijiunge. Hii ni hatari kubwa.

Huku Africa bado wanaume rijali wako wengi, hawajawa adimu kama huko wanakoita nchi 'zilizoendelea'. Nafikiri msimamo wa kuharamisha ushoga ni mzuri sana, inafaa tuendelee nao tusije jikuta tuna mishoga hadi ikulu!
 
unamwambia atafute mwanaume ambaye hana tabia za kishoga, ambayo siku hizi si rahisi.

sijakuelewa, una maana siku hizi kumpata mwanume ambaye hana tabia za kishoga ni ngumu au, ufafanuzi please.

Wapendwa nawashukuru kwa michango yenu! Nimethibisha jamaa ni shoga na tumekubaliana bila chuki kila mtu aendelee na maisha yake. Vikao vya wazazi pande zote vimeridhia, Mr aliulizwa kwa uwazi hakuweza kabisa kukubali ama kupinga, baba yake mzazi alisusia kikao na hili limeweka wazi huenda ni tabia aliyokuwa nayo tangia kale.

Maishani kila siku twajifunza, nakubaliana na nawe Joy tabia ya ushoga inakuwa sana siku hizi nawashauri wadada wenzangu muwachunguze jamaa zenu msije kuwa mnaishi na mashoga

Mwana
 
Mwanamtama achana nae huyo njoo kwangu mi nipo nipo tu natafuta bado.

... yap yap
icon10.gif
icon10.gif
 
Wapendwa nawashukuru kwa michango yenu! Nimethibisha jamaa ni shoga na tumekubaliana bila chuki kila mtu aendelee na maisha yake. Vikao vya wazazi pande zote vimeridhia, Mr aliulizwa kwa uwazi hakuweza kabisa kukubali ama kupinga, baba yake mzazi alisusia kikao na hili limeweka wazi huenda ni tabia aliyokuwa nayo tangia kale.

Maishani kila siku twajifunza, nakubaliana na nawe Joy tabia ya ushoga inakuwa sana siku hizi nawashauri wadada wenzangu muwachunguze jamaa zenu msije kuwa mnaishi na mashoga

Mwana

Pole sana dada.
 
ndio maana namwambiaga mdogo wangu MJ1 akae chonjo na wewe...kila uonacho wakitolea macho!

Mbona alinitosa MJ1 kwani hujui?
Kwa hiyo natafuta ipo siku nitapata atakaye nipenda nikapendeka.
 
Wapendwa nawashukuru kwa michango yenu! Nimethibisha jamaa ni shoga na tumekubaliana bila chuki kila mtu aendelee na maisha yake.

Afadhari mmeachana kwa amani.
Mwana ombi langu naomba nalo ulifikiria baada ya mchakato wa kutuliza akili ya kurudi katika maisha ya upweke na kulala peke yako maana ulizoea ukilala unamkumbatia mzee au unaegesha mguu wako juu yake sasa ndo hivyo tena....najua ni mpito tu hali itarejea na Inshallah mambo yatarudi kama kawa na mswano.....kama huto jali nataka nikufutulishe Ijumaa nasubili mwamko wako.
 
Mbona alinitosa MJ1 kwani hujui?
Kwa hiyo natafuta ipo siku nitapata atakaye nipenda nikapendeka.

Mpwa huyu jamaa noma kabisa.......anafanyiwa mambo ya aibu kabisa! ushawasiliana na Mwanamtama?
 
Back
Top Bottom