Masanilo na Fidel80....i think this girl need to get buckwild you know...she need to intiate threesomes...amwambie mwanaume wake why don't we do three some lakini huyo partner wa tatu awe mwanaume aone kama atakubali au atasita...alafu another thing ni kwamba if i was on her hsoes unajua kwanza what i will do?...ningefanya reserch kwanza ningetengeneza urafiki pia na huyo rafiki mwanaume wa mume wangu....unajua the thing about gay guys are so sweet...na wala siyo waongo they don;t hide anything,...me i have a lot of gay guy friends we talk about everything....i call them my gossip buddies.....
Na nikiwa club or hata tukiwa shopping...if a guy make a move on me they tell me if he is straight or gay...maana wanajua jinsi ya kuangalia na kujua kama ni bisexual or straight........nyie wanaume wote mnajua...na wale wanaume wanaojidai akiona gay anakuwa na hasira na kuanza kijufanya anachefuka hao ndiyo waongo ni downlow hao ila wanaogopa kugundulika so wanajidai wakali kama ukoma...