Naombeni Msaada

Mpwa huyu jamaa noma kabisa.......anafanyiwa mambo ya aibu kabisa! ushawasiliana na Mwanamtama?

Mpwa bado nipo kwenye mchakato maana natakiwa nimfanyie councelling ya kutosha si unajua amesha athirika kisaikolojia inabidi nijitahidi kumrudisha katika hali yake ya kawaida.
 

ili ukitaka kujua kama kweli jamaa yako ni shoga basi siku mnafanya mapenzi chezea chezea ballas zake na mdudu wake and then....jaribu kumuingiza kidole kwenye ****** wake taratibu ukiona kanyamaza kimya hafurukuti basi huyo ni shoga......

or ukitaka kujua dalili za wanaume walio kwenye down low then nenda kanunua kitabu kulichoandikwa na Omar king "on the downlow...."....he is bisexual na anaelezea dalili zote he was married before na alikuwa anamwaume pia tena padre.....nitafute kwa muda wako nikupe darasa nimekisoma kitabu.....ndiyo maana i don;t trust wanaume baada ya kusoma hicho kitabu...tena especially mwanaume akikwambia anapenda kufira huyo ogopa kama ukoma anaweza kufira hata mwanaume mwenzie.....
 
ili ukitaka kujua kama kweli jamaa yako ni shoga basi siku mnafanya mapenzi chezea chezea ballas zake na mdudu wake and then....jaribu kumuingiza kidole kwenye ****** wake taratibu ukiona kanyamaza kimya hafurukuti basi huyo ni shoga......

Shem

0/10
 
ili ukitaka kujua kama kweli jamaa yako ni shoga basi siku mnafanya mapenzi chezea chezea ballas zake na mdudu wake and then....jaribu kumuingiza kidole kwenye ****** wake taratibu ukiona kanyamaza kimya hafurukuti basi huyo ni shoga......

Hahahahahahaha si mchezo.
Hata wewe tukitaka kujua unatoa tiGo au hutoi inabidi tuingize kidole huko ukitulia tutajua unajiexpress.
 
Hahahahahahaha si mchezo.
Hata wewe tukitaka kujua unatoa tiGo au hutoi inabidi tuingize kidole huko ukitulia tutajua unajiexpress.


Masanilo na Fidel80....i think this girl need to get buckwild you know...she need to intiate threesomes...amwambie mwanaume wake why don't we do three some lakini huyo partner wa tatu awe mwanaume aone kama atakubali au atasita...alafu another thing ni kwamba if i was on her hsoes unajua kwanza what i will do?...ningefanya reserch kwanza ningetengeneza urafiki pia na huyo rafiki mwanaume wa mume wangu....unajua the thing about gay guys are so sweet...na wala siyo waongo they don;t hide anything,...me i have a lot of gay guy friends we talk about everything....i call them my gossip buddies.....

Na nikiwa club or hata tukiwa shopping...if a guy make a move on me they tell me if he is straight or gay...maana wanajua jinsi ya kuangalia na kujua kama ni bisexual or straight........nyie wanaume wote mnajua...na wale wanaume wanaojidai akiona gay anakuwa na hasira na kuanza kijufanya anachefuka hao ndiyo waongo ni downlow hao ila wanaogopa kugundulika so wanajidai wakali kama ukoma...
 
nyie wanaume wote mnajua...na wale wanaume wanaojidai akiona gay anakuwa na hasira na kuanza kijufanya anachefuka hao ndiyo waongo ni downlow hao ila wanaogopa kugundulika so wanajidai wakali kama ukoma...

Mh naibu speaker

Naomba mwongozo, unaweza toa mifano....this is very low....kwa hiyo lijali ni wale wanaocheka cheka na GAYS mhhhh sikubali hili!
 
Mh naibu speaker

Naomba mwongozo, unaweza toa mifano....this is very low....kwa hiyo lijali ni wale wanaocheka cheka na GAYS mhhhh sikubali hili!


siyo vizuri kutoa mifano Kamanda.....ila ndiyo hivyo nakwambia nimeshafanya reserch zangu na wengine wako humu humu JF....ila wanajifaya mademe ya mbegu.......
 
siyo vizuri kutoa mifano Kamanda.....ila ndiyo hivyo nakwambia nimeshafanya reserch zangu na wengine wako humu humu JF....ila wanajifaya madume ya mbegu.......

Looh basi bwana usije anza aibisha walume!
 


Hahahahahahaha si mchezo.
Hata wewe tukitaka kujua unatoa tiGo au hutoi inabidi tuingize kidole huko ukitulia tutajua unajiexpress.

Mpwa vipi kama ukimwekea sausage kunako maeneo akawa ametulia?
 
Looh basi bwana usije anza aibisha walume!


No siaibishi shem ila ni kuabiana ukweli na ni kitu kizuri sana mtu aliye on the down low aka come out from the closet....mbona ni kitu cha kawaida tuu...me i love gay guys....na kila mwanamke lazima awe na gay friend kama hana then huyo demu ana walakini...you got have a gay friend.....they r so cool.....
 
Hapa ndio Kelly01, sasa ukishafikia kuitwa Kelly99 si utakuwa balaa!
 

Dah! Miaka mitatu ya...!

Mwite, mkalishe chini, muulize kwa mapenzi yooote kama ni mchezo wake... Hatasita kujionyesha... Matokeo yakiwa 2-0 (*Bi), basi akili kichwani.

*Akiwa ni kaumu Ruti (Mtu wa Riwati aka askari jeshi), hakufai... Toka nduki kama Formula1... Kwa maana ako kaugonjwa kana tabia ya kuingia kwenye Gene, usije shangaa watoto au wajukuu wakarithi...!

Kuna msemo unasema hivi:

Shamba bora lenye rutuba uotesha mazao bora kama ukipanda mbegu bora, Lakini shamba ilo ilo bora lenye rutuba, ukipanda mbegu duni, mazao pia yatakuwa duni.
 
Kelly01 unawafanyia kampeni hawa jamaa (cake boy) ili tuwakubali au tuwapende?
 

Mwanangu hapa we ndo umemaliza mchezo misala kama hii wanangu kadhaa waliishawahi kamatwa na wake au wachumba zao kwa mtindo huu.
Bibie ondoa shaka ya ushoga ila jua jamaa tayari ana kasmall!
 
kweli kabisa na hapo umemsaidia sana huyo dada kutatua tatizo lake, wanaume wengi siku hizivimeo vyao husave kwa majina ya kiume
 
siyo vizuri kutoa mifano Kamanda.....ila ndiyo hivyo nakwambia nimeshafanya reserch zangu na wengine wako humu humu JF....ila wanajifaya mademe ya mbegu.......

Mhh....Kwani wewe umeshawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na GAY? Au research yako ulitumia methodology gani kufanya hiyo research???
 

Mi nakushauri umchunguze kama anamegwa au anamega. Kama anamegwa hilo ni soo kimbia, ila kama anamega, fanza mpango umgawie hicho anachokitafuta nje. Si unacho bana.
 
Swali la kizushi: Kipi kina nafuu kati ya haya mawili, mume awe na "Aunt Dume" amemuweka kinyumba kwa siri ama awe na nyumba ndogo aliyoiweka kwa siri?[/QUOTE]
 
Swali la kizushi: Kipi kina nafuu kati ya haya mawili, mume awe na "Aunt Dume" amemuweka kinyumba kwa siri ama awe na nyumba ndogo aliyoiweka kwa siri?
[/QUOTE]

Hakuna chenye unafuu hapo safina!
 
Mhh....Kwani wewe umeshawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na GAY? Au research yako ulitumia methodology gani kufanya hiyo research???

Nahisi Kelly01 ni lesbian maana post yake...mmmmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…