LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea madhara jamani na nyama ni tamu.
=============
Asanteni sana kwa ushauri naona nimelaaniwa vikali kuacha hii kitu na wadau wadau wote wamesema niendelee kuila ni nzuri kiafya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
=============
Asanteni sana kwa ushauri naona nimelaaniwa vikali kuacha hii kitu na wadau wadau wote wamesema niendelee kuila ni nzuri kiafya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]