goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Uhakika Sana hiiHamia kwny foil ya ng’ombe/mbuzi huta jutiaView attachment 2262643
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika Sana hiiHamia kwny foil ya ng’ombe/mbuzi huta jutiaView attachment 2262643
Chukua pombe kali yoyote isiyo na rangi weka nusu kwenye bilauri kisha tumbukiza kipande cha kitimoto iliyoiva subiri dakika 3 hivi kisha angalia ndani ya bilauri.. Utakachoona kitakupa majibu ya kuendelea kula ama kuachaImeshakuathiri tayari Mkuu si unaona imekuletea "mazara"
Hakuna madhara kula tu hadi utengeneze banda la kuwafugia kwa faida ya Kiuchumi na Kiafya!
Na kuongeza CD.4
View attachment 2262646View attachment 2262651View attachment 2262655
Na wife huko Iringa anachaktwa mbususu so yupo busy..simu hakupigii na mfukoni una laki 3 haina kazi na mmoja wa barmaid anatoka mapema saa kumi ..na namba yake unayo...!Raha ya kitimoto muwe marafiki wanne mlioshibana halafu mnaagiza kilo mbili kavu na kilo mbili roast, grant's moja Kama appetizer, sauce, kachumbari na ndizi kubwa kumi na mbili, baada ya hapo beer zianze huku mnaangalia mpira wa YANGA halafu Yanga oanaongoza kwa bao moja.bar yenyewe iwe na mabar maid mizigo mmoja anahudumia meza yenu tu.
Huko nyumbani waif awe ameenda kwao Iringa babake mgonjwa.
Utaomba bar isifungwe.
Hapo karibu na kanis kina mdada alitwa vicky akiuuza Kiri kitambo bado yupo?Huko kote nakujua, fire, kwa mwenyekiti, pale karibu na kanisa Katoliki jimbo la Mtwara kama unaelekea kwa mkuu wa mkoa upande wa kushoto, etc.. Hayo ni maeneo ya mjini..!! Nipo mbali na huko
Mimi ni mzaramo.Na wife huko Iringa anachaktwa mbususu so yupo busy..simu hakupigii na mfukoni una laki 3 haina kazi na mmoja wa barmaid anatoka mapema saa kumi ..na namba yake unayo...!
Duh, sasa huyu mwamba mtamwua haki ya nani! Akiacha labda ni zombie!
Hivi mfojo fundi wa kuchoma nyama hana hii kitu?HV kwa dar Happ ukiacha kinyerezi nan mtaalamu mwingine wa kuanda huyu mnyama?
Hahahaha Daa wee jamaa embu ngoja niende Peace Pub kwanzaMkuu kula tu ukiikuta ya kuchoma na ugali pamoja na Pepsi baridi, mbeya mwailubi pale hahahah karibu Niko napata apa.View attachment 2262631
Raha ya kitimoto muwe marafiki wanne mlioshibana halafu mnaagiza kilo mbili kavu na kilo mbili roast, grant's moja Kama appetizer, sauce, kachumbari na ndizi kubwa kumi na mbili, baada ya hapo beer zianze huku mnaangalia mpira wa YANGA halafu Yanga oanaongoza kwa bao moja.bar yenyewe iwe na mabar maid mizigo mmoja anahudumia meza yenu tu.
Huko nyumbani waif awe ameenda kwao Iringa babake mgonjwa.
Utaomba bar isifungwe.
Km wewe tayari ni mlaji wa kitimoto wa siku nyingi, kuacha Haiwezekani, Halafu unaiacha kwasababu gani??,Ili iweje?, maana kitimoto ndio nyama tamuu kuliko nyama nyingine.Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea mazara jamani na nyama ni tamu
Dah!!!,Nimeshaanza kusalvate.Mkuu kula tu ukiikuta ya kuchoma na ugali pamoja na Pepsi baridi, mbeya mwailubi pale hahahah karibu Niko napata apa.View attachment 2262631
Silimu...Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea mazara jamani na nyama ni tamu
Ongeza na Mzinga mkubwa wa Konyagi,K-Vant au hata Value pembeni.