financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Juma" unatumia hiyo kitu pia? Au ni kajina tu hako🤔Kaa wiki tatu bila kula...halafu jipongeze kwa kilo moja na kachumbari nyingi bila kusahau ndizi tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juma" unatumia hiyo kitu pia? Au ni kajina tu hako🤔Kaa wiki tatu bila kula...halafu jipongeze kwa kilo moja na kachumbari nyingi bila kusahau ndizi tano
Pole sana MkuuNilipo ni kusini mwa Tanzania na wanaotuzunguka 99% ni waislamu. Hakuna kijiwe cha the loved Kitimoto. You can imagine mate kiasi gani yashanitoka
Mzee acha uoga,nchi hii ni huru na kila mtu ana uhuru wa imani ilimradi havunji Sheria za nchi.Nitauwawa...!! Fikiria, wakati wa mfungo madukwa hufungwa mchana wote
Natumia mkuu...kuhusu juma ni jina tu.. ingawa dini zote mbili nimewahi kuzitumikia vizuri tuJuma" unatumia hiyo kitu pia? Au ni kajina tu hako🤔
Dah mkuu hii kitu hiii tamu sanaHamia kwny foil ya ng’ombe/mbuzi huta jutiaView attachment 2262643
Daah,hiki ni cha Moshi au Arusha yaani mjuvi anakijua tu
Haipukiki kwa kweli [emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 2262632
Nunua haraf uniite mimi
Hahaha Boma hii si ndio kwa Deborah kitimotoNgoja niende kwa DEBORAH sasa hivi
Yeah ukifika tu Kwanza anakuuliza nikupe kinywaji gani wakati unasubiri mboga iive.tukutane j2 paleHahaha Boma hii si ndio kwa Deborah kitimoto
Acha kuwaza ujinga, uache kula kitimoto ili iweje!!!??Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea mazara jamani na nyama ni tamu
Dawa yako inachemkaHuko nyumbani waif awe ameenda kwao Iringa babake mgonjwa.
Duh.. Nilidhani ni plastaila watu
Tujuane mkuu pm me.Chimbo langu hlo [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]