Naombeni namna ya kuepuka kula kitimoto

Naombeni namna ya kuepuka kula kitimoto

Taarifa kwa wote ambao wanajifanya hawali mbuzi wa katoriki et kisa ana madhara kwan ndio utaishi milele?

https://jamii.app/JFUserGuide you. Nishindwe kuenjoy sababu ya magonjwa!
 

😂😁😄😃😀🙄😶😑😐🤨Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghosha Sana

 
Daaah!!

Haya mateso. Umekusudia kututesa. Yaani mate imejaa mdomoni, siyo kwa kutamani huku!![emoji39][emoji39]
images (40).jpeg
 
Dah.. nmesoma hii mada nkiwa Iringa kihesa kwa bwana Tom anafanya maajabu yake. Itabidi nisamehewe. Soda nmeacha lakini kwenye Noah, aisee bado sana
 
Back
Top Bottom