Naombeni namna ya kuepuka kula kitimoto

Naombeni namna ya kuepuka kula kitimoto

Ni kuamua tu.

I'm not drinking pia sili nguruwe, nimeamua tu,
 
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea madhara jamani na nyama ni tamu

=============

Asanteni sana kwa ushauri naona nimelaaniwa vikali kuacha hii kitu na wadau wadau wote wamesema niendelee kuila ni nzuri kiafya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ukitaka kuacha kula mdudu kwa urahisi, hamia tu kwa wafuasi wa Mudi au Ellen White.

Ila kwa sisi waumini wa Kanisa Katoliki, mdudu kwetu ni sunna! Kamwe hatuwezi kumuacha.
 
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea madhara jamani na nyama ni tamu

=============

Asanteni sana kwa ushauri naona nimelaaniwa vikali kuacha hii kitu na wadau wadau wote wamesema niendelee kuila ni nzuri kiafya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ukitaka kuacha kula kitimoto ni kuswitch tu. Anza kula nguruwe maana kitimoto ina wese balaa na hivi tuna shida na mafuta, nyie wenye hifadhi za taifa za mafuta mwilini mtaanza kuwa dili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
tafuta biblia utaona uharamu wake
Ukiniwekea aya toka Bublia Takatifu na quran mimi mgen nimeharimishiwa nyama ya nguruwe nitarerdi Ukristo na kwenye uislamu siji nitakuwa mchawi wa kienyeji![emoji101][emoji101]
 
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea madhara jamani na nyama ni tamu.

=============

Asanteni sana kwa ushauri naona nimelaaniwa vikali kuacha hii kitu na wadau wadau wote wamesema niendelee kuila ni nzuri kiafya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Waambie watu ukila wakulambe njiti 100
 
Kumbukumbu la taurati 14:8
Ukiniwekea aya toka Bublia Takatifu na quran mimi mgen nimeharimishiwa nyama ya nguruwe nitarerdi Ukristo na kwenye uislamu siji nitakuwa mchawi wa kienyeji![emoji101][emoji101]
 
Back
Top Bottom