Naombeni namna ya kuepuka kula kitimoto

Naombeni namna ya kuepuka kula kitimoto

Nilipo kuwa nasoma mkwawa nilikuwa nafaidi Sana aisee. Nilikuwa nakuja kihesa na kule ccm. Kule makanyagio kulikuwa hakuna mafundi wa kutengeneza

Ushauri wangu piga mdudu Hana madhara

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona kakuibia, sauce kidogo sana na majani kidogo
Hii ni kitimoto imetengenezwa kavu kuna ile yenye roho pia ... angalia aina zote mbili hapa
 

Attachments

  • 20220617_204740.jpg
    20220617_204740.jpg
    105.5 KB · Views: 6
Kumbukumbu la taurati 14:8
Hiyo ayat uliyo weka ni sheria za ùmma wa nani??[emoji101][emoji101]
Vitabu vya deen/Imani Vinabainisha kuhusu Umma!
Biblia Takatifu!
[emoji1484][emoji1484]
Luka 22
19 Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, [Huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.

20 Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]

Qulaani!
[emoji1484][emoji1484]
لِّكُلِّ أُمَّةٍ جَعَلْنَا مَنسَكًا هُمْ نَاسِكُوهُ ۖ فَلَا يُنَازِعُنَّكَ فِي الْأَمْرِ ۚ وَادْعُ إِلَىٰ رَبِّكَ ۖ إِنَّكَ لَعَلَىٰ هُدًى مُّسْتَقِيمٍ

[ AL -HAJJ - 67 ]
Kila umma tumewajaalia sheria zao na ibada zao wanazo zishika. Basi wasizozane nawe katika jambo hili. Na waite watu kwendea kwa Mola wako Mlezi. Hakika wewe uko kwenye Uwongofu Ulio Nyooka.
 
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea madhara jamani na nyama ni tamu.

=============

Asanteni sana kwa ushauri naona nimelaaniwa vikali kuacha hii kitu na wadau wadau wote wamesema niendelee kuila ni nzuri kiafya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]

Siku utakunya funza weupe au wakitoka wenyewe kwenye hiyo njia ya yabisi ndio itakua mwisho wako wa kula
 
Raha ya kitimoto muwe marafiki wanne mlioshibana halafu mnaagiza kilo mbili kavu na kilo mbili roast, grant's moja Kama appetizer, sauce, kachumbari na ndizi kubwa kumi na mbili, baada ya hapo beer zianze huku mnaangalia mpira wa YANGA halafu Yanga oanaongoza kwa bao moja.bar yenyewe iwe na mabar maid mizigo mmoja anahudumia meza yenu tu.

Huko nyumbani waif awe ameenda kwao Iringa babake mgonjwa. Utaomba bar isifungwe.
Maisha haya ni ndoto ya kila mtanzania
 
Mbona simple tu, acha kutafuta pesa. Ukikosa pesa hutaweza kununua na utaacha kabisa.

Ama lah jiue.
La sivyo ni ngumu kuacha mdudu na alivyo mtamu vile unaachaje sasa!??
 
Back
Top Bottom