Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua nimemeza mate kwa sabubu ya picha yako, ushindwe!!!Mkuu kula tu ukiikuta ya kuchoma na ugali pamoja na Pepsi baridi, mbeya mwailubi pale hahahah karibu Niko napata apa.View attachment 2262631
Hii ni kitimoto imetengenezwa kavu kuna ile yenye roho pia ... angalia aina zote mbili hapaMbona kakuibia, sauce kidogo sana na majani kidogo
Na ugali mkubwa ni balaaYupo dada mmoja mtaalam sana hapa Arusha anaitwa Mandi... ,kitimoto yake ni balaa
Hivi vitu ni vya nchi hiiHii ni kitimoto imetengenezwa kavu kuna ile yenye roho pia ... angalia aina zote mbili hapa
Vya hapo arusha mkuuHivi vitu ni vya nchi hii
Hiyo ayat uliyo weka ni sheria za ùmma wa nani??[emoji101][emoji101]Kumbukumbu la taurati 14:8
Nipo jirani na wauzaji kwa kweli napata tabu sana kuacha kula maana nahisi itaniletea madhara jamani na nyama ni tamu.
=============
Asanteni sana kwa ushauri naona nimelaaniwa vikali kuacha hii kitu na wadau wadau wote wamesema niendelee kuila ni nzuri kiafya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Na kachumbari zenye mayai ya minyoo[emoji849]Mkuu kula tu ukiikuta ya kuchoma na ugali pamoja na Pepsi baridi, mbeya mwailubi pale hahahah karibu Niko napata apa.View attachment 2262631
Vick yupo au aende coco beach baada ya darajan guest kuna wadau wanauzaHapo karibu na kanis kina mdada alitwa vicky akiuuza Kiri kitambo bado yupo?
Duuuh! Kadumu sana yule sista... Wana waliishi nae enzi hizoVick yupo au aende coco beach baada ya darajan guest kuna wadau wanauza
Maisha haya ni ndoto ya kila mtanzaniaRaha ya kitimoto muwe marafiki wanne mlioshibana halafu mnaagiza kilo mbili kavu na kilo mbili roast, grant's moja Kama appetizer, sauce, kachumbari na ndizi kubwa kumi na mbili, baada ya hapo beer zianze huku mnaangalia mpira wa YANGA halafu Yanga oanaongoza kwa bao moja.bar yenyewe iwe na mabar maid mizigo mmoja anahudumia meza yenu tu.
Huko nyumbani waif awe ameenda kwao Iringa babake mgonjwa. Utaomba bar isifungwe.
Hivi mwili mtatu ni kiasi gani?Ukikaa kule kwa wauza mwili na wewe utajiuza?