nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
[emoji3516]Wadau, Mafundi na wenye uzoefu wa biashara ya vifaa vya umeme wa majumbini naomba mnitajie orodha ya vifaa vinavyohitajika na vinavyotoka haraka kibiashara zaidi.
Nimepata fremu ndogo ya biashara, kwa mazingira ya mtaa huo hakuna duka la vifaa vya umeme kwa maeneo ya karibu, hivyo nimeona endapo nitafungua duka kama hilo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu naweza nikapata riziki.
Uchawi huu[emoji3516]
NITAJIE HILO ENEO,
ILO KESHO NIHAMISHIE DUKA LANGU LA VIFAA VYA UMEME HAPO.
Nakushukuru sana njoo ibox kiupendo kuna vocha ya 1000.00Sio mtaalam sana ila:
Wire 1.5 na 2.5 mwingi kama atleast 200 meters @ , hizi zinaenda zaid
Wire 4 na 6 kidogo
Taa mbali mbali kama zote, energy savers na Led sana sana changanya za Pin ziwe nyingi na za tred kidogo, weka pia za rangi mbalimbali
Switch, ila za njia moja nyingi zaid kuliko nyingine
Sockets pia zinatumika nyingi kwenye nyumba weka njia moja ziwe nyingi zaidi kama 3/4
Conduit pipes weka pia hata 100 au 50 na trances kwaajili ya wiring ya surface
Junction box na switch box pia weka nyingi kama 200
Lamp holders hata 100 hivi
Socket za coocker hata 5 kuanzia nahis zinatosha
Earth roads hata 10 changanya og na fake, pamoja na wire wa earth
Wire za spika hizi hata 100m
Extension cable kadhaa hata 5
Tape pia ka bandle hivi
Nafkiri wadau watajazia zaidi ila pita kwenye maduka ya umeme ufanye ukachero kidogo
Kwangu ni Du'wa... AMENI.[emoji3516]
NITAJIE HILO ENEO,
ILO KESHO NIHAMISHIE DUKA LANGU LA VIFAA VYA UMEME HAPO.
😄😄 Asante sana mkuu, kwasahivi usijali, biashara ikikaa sawa sasa tutakuja kupiga vibomuNakushukuru sana njoo ibox kiupendo kuna vocha ya 1000.00
1,800,000.00Mtaji wako Ni Kia's gani,
Ili tuorodheshe kubalance na hela yako.
Site mpya ila ni katikati ya makazi pia zipo huduma za kibinaadamu Shule, msingi na upili, ofisi ya wakala wa serikali "brela" hospitali, chuo hotel management, msikiti hizo ni baadhi tu, sasa hako kagoli kapo katikati...kaka upo maeneo makongwe au upo kwenye site mpya??
Vp Mkuu ulifanikishaSite mpya ila ni katikati ya makazi pia zipo huduma za kibinaadamu Shule, msingi na upili, ofisi ya wakala wa serikali "brela" hospitali, chuo hotel management, msikiti hizo ni baadhi tu, sasa hako kagoli kapo katikati...
Vp Mkuu ulifanikisha
Sio mtaalam sana ila:
Wire 1.5 na 2.5 mwingi kama atleast 200 meters @ , hizi zinaenda zaid
Wire 4 na 6 kidogo
Taa mbali mbali kama zote, energy savers na Led sana sana changanya za Pin ziwe nyingi na za tred kidogo, weka pia za rangi mbalimbali
Switch, ila za njia moja nyingi zaid kuliko nyingine
Sockets pia zinatumika nyingi kwenye nyumba weka njia moja ziwe nyingi zaidi kama 3/4
Conduit pipes weka pia hata 100 au 50 na trances kwaajili ya wiring ya surface
Junction box na switch box pia weka nyingi kama 200
Lamp holders hata 100 hivi
Socket za coocker hata 5 kuanzia nahis zinatosha
Earth roads hata 10 changanya og na fake, pamoja na wire wa earth
Wire za spika hizi hata 100m
Extension cable kadhaa hata 5
Tape pia ka bandle hivi
Nafkiri wadau watajazia zaidi ila pita kwenye maduka ya umeme ufanye ukachero kidogo