The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Naona kila sehemu ni orodha ya walioteuliwa tu
Naomba mwenye orodha ya waliotemwa tuiweke hapa tuione..
Nataka kuona yupi labda alikuwa mchapakazi katemwa 'kimakosa'..
Mwenye nayo please naomba iweke hapa
=====
Naomba mwenye orodha ya waliotemwa tuiweke hapa tuione..
Nataka kuona yupi labda alikuwa mchapakazi katemwa 'kimakosa'..
Mwenye nayo please naomba iweke hapa
=====
Wakuu Walioachwa mkeka wa mama Wa Ma DC
1. Richard Kasesela - Iringa
2. Lengai Sabaya - Hai
3. Lydia Bupilipili - Bunda
4. Ruth Blasio Msafiri - Njombe
5. Deogratius Kinawilo - Bukoba
6. Dr. Philis Nyimbi - Nyamagana
7. Dr. Severine Lalika-Ilemela
8. Dr. Kipole -Sengerema
9. Cornel Magembe - Ukerewe
10. Simon Odunga - Rorya
11. Eng. Mtemi Msafiri - Tarime
12. Nyamaganga Talaba - Kishapu
13. Anna Nyamubi - Butiama
14. Salehe Mhando - Tanganyika
15. Paul Ntinika - Mbeya
16. Asia Abdalah - Kilolo